Upendeleo nssf

Status
Not open for further replies.

adobe

JF-Expert Member
Joined
May 6, 2009
Posts
2,770
Reaction score
1,883
Jamani kwa mda mrefu nimekuwa nikifuatilia hali ndani ya nssf.hi ni kutokana na uhalisia unapoingia tu ofc yoyote ya nssf hasa hapa dsm.nilipata kwenda ubungo kwa ajili ya kudai hela zangu.welcome note pale ni shungi.bada ya kufuatilia kwa karibu niligundua kuwa ndani ya nssf udini umetamalaki.hii imesababisha hata utendaji kazi kudorora kutokana na upendeleo kwa kundi flani la watu.ajira ni kwa msingi huo huo kwamba kila ajira 100 basi 90 wanapewa watu wa itikadi flani.haya yote kwa utafiti wangu una baraka zote za mkuu eti ndo ku balance.my take,kama nssf shirika la uma wa watanzania wote tunachangia basi nawashauri watu wa imani ya kikristu aidha kutokujisajili na nssf au hata kushiriki shughuli zozote za nssf.
 
Hata na wewe kuhimiza wakristo kujitoa ni Udini pia! Kama wao walivyohimizana kuwekana huko!
Maana yake unachomaanisha ni kuwa wakristo na sisi tutafute shirika letu sio?? Tutakuwa na tofauti gani na wao?
 
ni kweli nasikia hako kamkurugenzi ni kadini sana. Kuna jamaa zangu kibao wakristu wameacha kazi hapo na kutafuta kazi sehemu nyingine hii na manyanyaso ambayo walikuwa wakiyapata eti kwa sababu wao si waislam
 
Udini udini udini.. Haya tutafika..
 
Nitatembelea xmass nione kama wataweka ule mti na yale mapambo ili kuthibitisha.
 
Jk alikuja wabana, wakristu, wa kaskazini, na wachaga specifically....mwenyewe anadai bila kuweka usawa "Amani haitakuwepo"...Hao ndio watu walioshindwa jenga jamii wakachagua njia rahisi ambayo ni kubomoa, wanapiga mkwara kuwa bila usawa wataivunja amani.
 
ahsante sana kwa utafiti mzuri ila nahofu hujakamilisha utafiti wako. labda una hofu na shungi kitu ambacho ni kweli zikikaa shungi tano zinaonekana sana kuliko vimini 50. kama si majungu unaleta hapa kama kina mama kisimani.

naomba utupe data hizi.

nssf ina wafanyakazi wangapi, maafisa waangapi, menejiment wangapi,

wakristo wangapi na waislam wangapi na

kada ya chini makarani, madereva, wahudumu wakristo wangapi waislam wangapi,

lete hapa ukipata kada ya maafisa waislam ni zaidi ya 40% nakupa tzs 100,000 cash

vinginevyo hayo ni majungu na udini wako peleka kisimani kwa wanawake wenzio
 
Hata TRA Waislamu wasilipe kodi kwa sababu ni la kikristo majitu mengine yana akili kama ya Sugu
 
Hovyo!Kumbe wewe umetishwa na shungi?Mimi mbona ofisi nyingi tu za serikali nakaribishwa na Gospel music kwa sauti kubwa tu lakini sijali nafuata kilichonipeleka hapo then naendelea na safari yangu? Ukiona unanyanyasika kuishi kwenye nchi yenye imani tofauti za kidini nenda ukaishi VATICAN mdini mkubwa wewe!Huna haya?
 
Lema alisema bungeni kuwa Vasco Dagama ndio mdini nambari one; bibi kiroboto akataka uthibitisho akaletewa na mpaka leo ameufyata!!! Legacy ya huyu mkweree itakuwa kulisambaratisha taifa hili kwa misingi ya dini na kuwa rais aliyewakumbatia mafisadi!!!
 
na yule BOSI wao mswahili hana lolote

kila kukicha anatujengea baraja la Kigamboni, chuo cha dodoma, hospitali ya kimataifa, barabara, na kuongeza ukubwa wa mfuko wa jamii na bila kusahau mambo ya WESTADI

mambo haya alitakiwa afanye URIO au KITILYA au watu ambao sio waislam. Sasa Dau amepata wapi hizi guts za kufanya hii miradi ya maendeleo?

Daraja hili bora lingejengwa na wagala tuu....na hiyo ndio wanayotaka wadini





 
Du mapovu yanawatoka boko haram,alkaida na alshabab.kwa wale wa mrengo wa kivatcan kaeni chonjo jumapili makanisani msijelipuliwa maana hawa jamaa washapandisha majini yao humu.astakafurlah.mmeambia udini wenu sasa mapovu mdomoni angalia msijepata kifafa
 
tunarudia yale yale, sijaona udini wowote hayo ni masingizio tuu, nssf ni shirika madhubuti na lenye mweelekeo mzuri. Ila watanzania hatupendagi maendeleo, akipatikana msimamizi mzuri anayepinga ufisadi basi inakuwa nongwa. Acheni kutuleta udini wakipumbavu.

Tanzaznia Haina dini
 

Punguza jaziba umemjibuu kwa hoja nakupa "Like"
 
na yule BOSI wao mswahili hana lolote

kila kukicha anatujengea baraja la Kigamboni, chuo cha dodoma, hospitali ya kimataifa, barabara, na kuongeza ukubwa wa mfuko wa jamii na bila kusahau mambo ya WESTADI

mambo haya alitakiwa afanye URIO au KITILYA au watu ambao sio waislam. Sasa Dau amepata wapi hizi guts za kufanya hii miradi ya maendeleo?

Daraja hili bora lingejengwa na wagala tuu....na hiyo ndio wanayotaka wadini





 
TAZAMA UDINI UNAVYOFANYAKAZI NSSF

Project scheduled to take off next year

Offices
Residential
Schools
Shopping Malls
etc







 
Hata maria mama yake yesu pia alivaa shungi.hapo unasemaje biyeye.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…