goldie ink
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 5,634
- 9,151
Ukimchunguza bata sana hutaweza kumla we muoe tu Mzee baba.....
Kama Sickle sellMaradhi ya kurithi ni kama yepi mkuu msaada kidogo.
Kama demu wa kihaya itakuaje mkuu
Sukuma ,,wao Mali zako sio inshu kwao.... Ila mamaeee wanavua chupi balaa.Nani kina Mange au Chaggabeibe?
Sukuma ,,wao Mali zako sio inshu kwao.... Ila mamaeee wanavua chupi balaa.
Mkuuu bora wahaya wanajulikana.... Ogopa maduhu wakisukuma ,, unamgonga kwa kumtania Tania hata km kaolewa !!!.nibalaaa ,, alafu sasa wanajifanyaga makondooo.Wanawashinda wahaya au wanyambo?
Mkuu siku au wiki ya kwanza tu unavyomtamani mwanamke ndo unatakiwa uyafanye haya, ili kutokuumizana kwanza ukigundua kuna shida wee mwenyewe utajishauri kumuachaNjia gani nzuri ya intelligence ya kutumia kabla ya kuoa yaani kupeleleza ukoo hata familia nzima ya mchumba wako.Kuna ndugu yangu anataka kuoa ukoo flani upo mbali na anapoishi.Karibuni great thinkers
ww jamaa nae hujui maradhi ya kurithi? khaaMaradhi ya kurithi kama yapi?
Uache kudhalilisha makabila ya watu!!Hao wote wanaokitembeza ni wahaya!!Msomi hatakiwi kufanya hasty generalization!!!Ukute hata uhayani haujakaa unawajua wale wa Tandika na hapo mwananyamala!!! Nenda kasearch historia ya wahaya uone mtu alikuwa akikutwa Malaya anafanywa nini?Yaani demu la kihaya ni demu la kuishi nalo au wa kumtokea? Kama unataka kujipa maradhi ya kujitakia tafuta demu la kihaya uishi nalo uone majirani zako watakavyopiga foleni nyumbani kwako.
Nayajua! Niliuliza hivyo nikiwa na maana yangu! Nilitaka jua ni yapi yanayozungumziwa hapa.ww jamaa nae hujui maradhi ya kurithi? khaa
Uache kudhalilisha makabila ya watu!!Hao wote wanaokitembeza ni wahaya!!Msomi hatakiwi kufanya hasty generalization!!!Ukute hata uhayani haujakaa unawajua wale wa Tandika na hapo mwananyamala!!! Nenda kasearch historia ya wahaya uone mtu alikuwa akikutwa Malaya anafanywa nini?
Nina watu ninaowajua makabila mengine wanajua kukitembeza Kama wana mota chini!!
Mshauri ampeleleze mtu kutukana makabila ya watu siyo poa!!!
Je ukikuta familia baba na mama wametengana, Dada zake karibu wote wapo wapo tu nyumbani hawajaolewa wana shughuli zao. Mama zake wadogo nao wapo wapo tu nyumbani hawajaolewa. Hapo vipi!!!!Wanawashinda wahaya au wanyambo?
Kifafa, ukoma, wehu etc.......Nayajua! Niliuliza hivyo nikiwa na maana yangu! Nilitaka jua ni yapi yanayozungumziwa hapa.
Kwa mimi sijaona maradhi yatakayonizuia kuolewa na mtu!
Wanyambo siyo wahaya hata ukiwaita hapa watakataaa.... Muleba unayosema wewe imevamiwa na wasukuma kibao!! Mbona hausemi makabila yanayofanywa na wakwe zoo? Umalaya hulka ya mtu.. Sample na analysis yako haijajitoshelwza kusema wahaya Malaya...Nimeishi Muleba miaka miwili na nusu na Karagwe kwa wanyambo mwaka na miezi kadhaaa, I know these people very well. Pole kama umeumia lakini ndo ukweli huo. Wahaya wanatom.bana kindugu, we umeona wapi mtu anato.mba mtoto wa baba mdogo (ni ndugu hawa) na wala hakuna noma, only in Bukoba na Karagwe. Kuna mengi ila sitaki kusema tu. Bisha nikupe makavu mengine ya live live.