Kilwa94
JF-Expert Member
- Aug 21, 2016
- 2,727
- 3,139
Wanawake wa kihaya hawafai hao viumbeUsioe mzaramo na mhaya
Wanawake wa kihaya hawafai hao viumbeUsioe mzaramo na mhaya
Kuna kakundi Ka wanawake huwa wanajifanya Wapole ,,ila niwagawaji balaaaa .Wahaya cyo
Maradhi ya kurithi kama yapi?Haina haja ya kufukua makabur kama hana maradhi ya kurisi+ya kisasa wameridhia aoe mengine baadae
Sawa Bali tunataka kupeleleza Kwa undani wote hasa mchumba mwenyeweInategemea na mambo mengi, simply tumia viongoz wa diyn ako waliojiran nae
Pumu sickle cell na kadholikaMaradhi ya kurithi kama yapi?
KwelYataka moyo
UmeonaKuchunguzana ni muhim sana mkuu kuna familia nyingine hazifai kuoa kabisa
Asante mkuu!Pumu sickle cell na kadholika
Kwanza Fanya toba wewe,Njia gani nzuri ya intelligence ya kutumia kabla ya kuoa yaani kupeleleza ukoo hata familia nzima ya mchumba wako.Kuna ndugu yangu anataka kuoa ukoo flani upo mbali na anapoishi.Karibuni great thinkers
Njia gani nzuri ya intelligence ya kutumia kabla ya kuoa yaani kupeleleza ukoo hata familia nzima ya mchumba wako.Kuna ndugu yangu anataka kuoa ukoo flani upo mbali na anapoishi.Karibuni great thinkers
Maradhi ya kurithi ni kama yepi mkuu msaada kidogo.Haina haja ya kufukua makabur kama hana maradhi ya kurisi+ya kisasa wameridhia aoe mengine baadae
Pole sana aisee! Kilikukuta nini?Mh Aisee usiombe ukaingia kwenye familia ambazo ni pasua kichwa kilichonikuta naona kama Movie ila Malipo ni hapa hapa duniani hakuna kwenda Mbinguni kulipana.