Updates za yanayojiri kwenye Maandamano ya CHADEMA

Updates za yanayojiri kwenye Maandamano ya CHADEMA

huo ni mwanzo tu. maandamano makubwa yanakuja. Albino,tembo wanauwawa polis wanazuga tu hawatoi majibu sahihi. wanaitolea macho CDM.
Mkuu, naona una hasira sana. Kwani maandamano yanasaidia nini?
 
Mwenyekiyi wa Chadema anakaribia Makao Makuu ya Polisi muda mfupi atakuwa anaingia hapo. Police wameanza kukamata watu waliojitokeza kumsindikiza Mwenyekiti. Huku waandamanaji wanapambana na askari wa FFU vikali. Mji mzima ni balaa.
View attachment 186192



View attachment 186191

Dodoma Maandamano ya kupinga Bunge la Katiba

View attachment 186189

View attachment 186190

Duh! Kumbe huwa tunadanywa kwamba hakuna askari wa kulinda maandamano, lakini wa kuzuia ni wengi hivi?
 
Duh! Kumbe huwa tunadanywa kwamba hakuna askari wa kulinda maandamano, lakini wa kuzuia ni wengi hivi?
Mkuu, polisi hawana shida na wananchi ikiwa kuna ustaarab wakati wanafanya maandamano. Tatizo ni kwamba, maandamano mengi hasa yale yanayoandaliwa na CHADEMA kunakuwa na wahuni wengi
 
Hivi chama chenye Ofisi ya Mkoa kama hii utakiaminije?
image.jpg
 
Hivi chama chenye Ofisi ya Mkoa kama hii utakiaminije?
View attachment 186225

Wee mwehu, uimara wa chama ni majengo au ni itikadi thabiti iliyoko ndani ya wanachama? Sasa hebu nionyeshe picha ya Ofisi za iliyokuwa TANU enzi zakudai uhuru tuone sababu zilizowafanya watu wengi wakiongozwa na aliyekuwaM/Kiti wa chama chenu kukiunga mkono hadi Tanganyika ikapata uhuru wake kutokakwa mabepari ya kizungu! Nonsense!

 
  • Thanks
Reactions: Wed
Back
Top Bottom