Jeff Mangi
Member
- Sep 23, 2019
- 62
- 40
CHADEMA wanasema kuwa Mhe. Mwambe ametangaza kugombea uenyekiti wa chama hicho kujihami kwa sababu anavujisha Documents mbalimbali za chama ikiwemo barua ya yeye kukumbushwa kulipa mchango wa mbunge kwa chama, akaivujisha kwa Zitto kabwe ambae naye akampa kigogo na kigogo akaivujisha kwa umma.
CHADEMA wanasema Mwambe mwenyewe amekiri kuwa barua ina jina lake lakini hajaivujisha yeye.
CHADEMA wanasema Mwambe mwenyewe amekiri kuwa barua ina jina lake lakini hajaivujisha yeye.