Updates za Tanzania Graduate SACOS and Vikoba

Updates za Tanzania Graduate SACOS and Vikoba

TEMBO WANGU

JF-Expert Member
Joined
Feb 21, 2014
Posts
930
Reaction score
1,297
Wakuu habari zenu!

Kupitia uzi wa tarehe 1/4/2014 wenye maudhui "graduate sacos au vikoba" leo wadau wote tumekutana mwenge, miongoni mwa tulio afikiana ni yafuatayo: tumeanzisha jumuiya itaitwa " tanzania graduate association", pili: tumeanzisha tanzania graduate vikoba, tatu: tupo mchakato wa awali wa kuanzisha NGO'S, nne:tupo mchakato wa awali kuanzisha baadhi ya miradi na kampuni tofauti tofauti na n.k, hivyo tunapenda kuwa taarifu wadau wote ambao wako tayari kujiunga na sisi, wafike siku ya jumamosi ya 12/04/2014,

MUDA: saa 9 kamili mchana, MAHALI: river side bar- ubungo river side,

MAWASILIANO: 0717 309119(Afisa habari) ,

UJUMBE: "vijana fursa zipo nyingi, tuunganeni" na ukipata taarifa hii, mjulishe na mwenzio. amani iwe kwenu.

UPDATE: kuna watu wengi wananiuliza kwamba graduate inaanzia level gani?

jibu🙁 Certificate hadi PHD )

Asanteni
 
wakuu habari zenu! kupitia uzi wa tarehe 1/4/2014 wenye maudhui "graduate sacos au vikoba" leo wadau wote tumekutana mwenge, miongoni mwa tulio afikiana ni yafuatayo: tumeanzisha jumuiya itaitwa " tanzania graduate association", pili: tumeanzisha tanzania graduate vikoba, tatu: tupo mchakato wa awali wa kuanzisha NGO'S, nne:tupo mchakato wa awali kuanzisha baadhi ya miradi na kampuni tofauti tofauti na n.k, hivyo tunapenda kuwa taarifu wadau wote ambao wako tayari kujiunga na sisi, wafike siku ya jumamosi ya 12/04/2014,MUDA: saa 9 kamili mchana, MAHALI: river side bar- ubungo river side, MAWASILIANO: 0717 309119(Afisa habari) ,UJUMBE: "vijana fursa zipo nyingi, tuunganeni" na ukipata taarifa hii, mjulishe na mwenzio. amani iwe kwenu.

Mkuu nipe utaratibu nataka kuwa member
 
Ni graduate Kuanzia level gani anaetakiwa kuwa member? Hata wa Certificate ni ruksa?
 
Nani mwanzilishi wa hii kitu, isijekuwa wajanja wachache wanataka kupiga pesa kwa migongo ya graduate! Kama ilivyo mabilioni ya Jakaya
 
nani mwanzilishi wa hii kitu, isijekuwa wajanja wachache wanataka kupiga pesa kwa migongo ya graduate! Kama ilivyo mabilioni ya jakaya

kaka hiko kitu naimani kiko sawa so kama wewe umevutiwa chukuwa namba na umtafute tembo wangu
 
Acheni kutuzingua mnaweka namba ambazo hazpatkani!
 
wakuu habari zenu! kupitia uzi wa tarehe 1/4/2014 wenye maudhui "graduate sacos au vikoba" leo wadau wote tumekutana mwenge, miongoni mwa tulio afikiana ni yafuatayo: tumeanzisha jumuiya itaitwa " tanzania graduate association", pili: tumeanzisha tanzania graduate vikoba, tatu: tupo mchakato wa awali wa kuanzisha NGO'S, nne:tupo mchakato wa awali kuanzisha baadhi ya miradi na kampuni tofauti tofauti na n.k, hivyo tunapenda kuwa taarifu wadau wote ambao wako tayari kujiunga na sisi, wafike siku ya jumamosi ya 12/04/2014,MUDA: saa 9 kamili mchana, MAHALI: river side bar- ubungo river side, MAWASILIANO: 0717 309119(Afisa habari) ,UJUMBE: "vijana fursa zipo nyingi, tuunganeni" na ukipata taarifa hii, mjulishe na mwenzio. amani iwe kwenu.
safi sana mkuu tupo pamoja,inabidi tufanye mapinduzi sisi wenyewe sasa...
 
Acheni kutuzingua mnaweka namba ambazo hazpatkani!

mkuu namba hiyo inapatikana tena muda wote, nakuomba kama unania ya kweli basi jiunge na sis, na vinginevyo hatutaki majungu, pia hata kwenye ukombozi lazima wanafiki wawepo.
 
Safi sana wakuu, mimi nitafuteni siku nije niwape shule ambapo mnaweza endesha kwa mfumo wa kisasa kabisa, na kupitia VICOBA mnaweza fanya na mambo mengine mengi sana, ila nitawafundisha kwa mfumo wa GSLA, (Group Saving and Loan Asociatino)
 
Mnaanzisha SACCOS...KICOBA au NGO maana ni vitu tofauti hivo.....ushauri SACCOS ni endelevu zaidi kama mkiisimania vizuri kwani kuna sera ...sheria na kanuni zake za usimamizi tofauti na VICOBA na NGO
 
Safi sana wakuu, mimi nitafuteni siku nije niwape shule ambapo mnaweza endesha kwa mfumo wa kisasa kabisa, na kupitia VICOBA mnaweza fanya na mambo mengine mengi sana, ila nitawafundisha kwa mfumo wa GSLA, (Group Saving and Loan Asociatino)

mkuu tuakuomba muda wako hiyo saa 9 kamili siku ya jumamaosi tareh 12.4.2014, tunatanguliza shukrani zetu za dhati kwako. wasiliana na TEMBO WANGU kwa namba hiyo hapo juu , au nijulishe chochote kile kwa pm. Asante.
 
Last edited by a moderator:
Wakuu habari zenu!

Kupitia uzi wa tarehe 1/4/2014 wenye maudhui "graduate sacos au vikoba" leo wadau wote tumekutana mwenge, miongoni mwa tulio afikiana ni yafuatayo: tumeanzisha jumuiya itaitwa " tanzania graduate association", pili: tumeanzisha tanzania graduate vikoba, tatu: tupo mchakato wa awali wa kuanzisha NGO'S, nne:tupo mchakato wa awali kuanzisha baadhi ya miradi na kampuni tofauti tofauti na n.k, hivyo tunapenda kuwa taarifu wadau wote ambao wako tayari kujiunga na sisi, wafike siku ya jumamosi ya 12/04/2014,

MUDA: saa 9 kamili mchana, MAHALI: river side bar- ubungo river side,

MAWASILIANO: 0717 309119(Afisa habari) ,

UJUMBE: "vijana fursa zipo nyingi, tuunganeni" na ukipata taarifa hii, mjulishe na mwenzio. amani iwe kwenu.

UPDATE: kuna watu wengi wananiuliza kwamba graduate inaanzia level gani?

jibu: kuanzia form four hadi PHD( Certificate hadi PHD )

Asanteni
Elli Lady niece lady furahia ladyfurahia
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom