updates za msiba wa mdada aliepigwa risasi,morocco

updates za msiba wa mdada aliepigwa risasi,morocco

Ushirombo

JF-Expert Member
Joined
Jan 22, 2013
Posts
3,558
Reaction score
2,711
kwa waliopo msibani kibamba chama,plz mtu update tulio mbali
 
Unapoanzisha uzi fikiria watu ambao ndo wanasoma hiyo habari kwa mara ya kwanza.

Sipo kwenye web ningekupa Reputation Power,kwa mtu ambaye anasoma hii sredi kama hajaipitia ile sredi inayohusu kifo cha huyo dada hatoelewa kitu.
 
ndo mana nimespecify for those only who are at gathering,we kama haikuhusu unatulia,najua wanajf wapo wengne msibani,ya nin nianze story how she dead?
 
Mimi niko hapa Msibani kibamba CCM eneo hili linajulikana kama KWA MATEMBEZI.Kwa ujumla mpaka sasa mwili wa marehemu ulishaletwa kutoka Mhimbili tayari kwa ibada ya kuaga kisha safari ya kusafilisha mwili kuelekea KARAGWE mkoani KAGERA kwenye PUMZIKO LA MILELE.Umati mkubwa sana umefurika hapa msibani..Huku VILIO,HUZUNI,SIMANZI,NA MAJONZI vikiwa vimetawala hapa..
 
Amefariki wanasafirisha leo mchana na kuaga leo asubuhi. Hizo ni updates za waliokwenda msibani sasa anayesema hajafa atuambie yupo hospitali gani
 
Embu tupe habari kidogo mkuu huyo dada ni nani?yani imekuwaje wengine hatujafanikiwa kuona au kuifahamu hiyo story....Heri kwa sikukuu ya Noeli.
 
ndo mana nimespecify for those only who are at gathering,we kama haikuhusu unatulia,najua wanajf wapo wengne msibani,ya nin nianze story how she dead?

Ni muhimu kuwajuza wengine kwa ufupi, JF haipo kujibizana kwa namna hii...huenda wewe ndiye uliyempiga hiyo risasi ndo unatafuta taarifa ka wafiwa wamegoma kuzika
 
Kuna kikundi cha majambazi wanatembea na boxer waliua jamaa hapa masoko tabata kwa kumpiga risasi,vile vile walimkosa jamaa baada ya kumpiga risasi ikatoboa sikio maeneo ya mlimani city wakachukua hela inasemekana walienda Sinza baa ya Mawela wakaua mlinzi na kuweka wateja chini ya ulinzi wakachukua hela, siku iliyofuata inasemekana ndio wakafanya tukio morroco.
 
Back
Top Bottom