please mwenye any infor kuhusu hilo hapo juu please share with us, coz tunasubir sanaa
msaada tafadhali
na vyuo vitaanza mwezi gan?
Tatizo vijana ni wabishi nyie, utaratibu wa sasa ni kujiunga kwa kupitia Jkt, na unajiunga sawa na mwenye elimu ya msingi, sekondari na vyuo, ukishajiunga unasota kwanza mpaka nafasi za kwenda kadeti zitoke, hiyo inaweza kuchukua miaka miwili au zaidi.
Kumbe tuko wengi? Mimi niliongea juzi juzi na Maj.Gen flan ambaye ni mkuu wa 34KJ akaniambia nafasi za professionals kwaajil ya officer cadet ni january,ila lazima uhenye jkt kwanza unless utumie mbinu kama zangu kwamba unamtumia mkubwa then nafas zikitoka jina lako nalo linaonekana ulipitia mafunzo ya jkt kambi flani then unazama tu.
hunijui wewe.
kwani wewe nani by the way usipende kuongelea status yako iyo ni kuwatisha wenzako psychologically kama unajua kua we ni mtt wa mkubwa kaa kimya, nadhani umenipata.
hunijui wewe.
Upumbavu ni wa babu yako, as matter of fact....
msaada tafadhali
Slow down man........
Sorry mkuu
Pamoja mkuuThat's all about Great Thinker. Thanks mkuu
Mkuu kuna intake mwezi wa kumi but ni kwa wale wa levo ya form six , nimekusoma ipasavyo mkuu, ila sijakuelewa hapa kwa level ya form six una maanisha hawa wa kwa mujibu wa sheria au form six yeyote?