updates za kujiunga na jeshi jkt/jwtz

updates za kujiunga na jeshi jkt/jwtz

nimekusoma mkuu ila hapa kwa level ya form six una mana hawa wa kwa mujibu wa sheria au form six yeyote?
 
Duh! Bonge la zengwe jaman wakuu si juz juz nkajchanganya na lile tangazo la kizushi pale makao makuu upanga jwtz kufika pale mi na wenzangu afande akaanza kutupa somo bhana kuwa tangazo hilo sio la kweli subirini mtatangaziwa hzo nafasi za professional wakat utakapowadia ila waka2pa option tuziache zile barua au turudi nazo dah! Wengne tulirud nazo wengne wakaziacha yan hata sikuelewa nini falsafa yao wale jamaa ila kiukweli njia panda kuhusu hizi ajira wanajamvi
 
njia panda kwel wakuu, ila pta pta zangu wadau wa jkon wanashaur tuckilizie post za jkt mwez wa 12 tht ts the only way to jwtz
 
ucjal mdau fanya harakat hapa bongo bhan hakuna knachoshndkana
 
Maj . Gen alafu mkuu wa kikosi 34KJ? wewe ni mwongo na taarifa zako ni za uongo. hooooooops
 
Maj . Gen alafu mkuu wa kikosi 34KJ? wewe ni mwongo na taarifa zako ni za uongo. hooooooops

vipi mdau, hawa watu wamedanganya nin tena? tujuze tucije ingia chaka na sisi bureee
 
Back
Top Bottom