Updates za Corona Tanzania

Upo sahihi mkuu... Nafikiri hata kwenye madaladala serikali ingetoa tamko kwamba wapakie abiria level siti tu wazuie msongamano kama ilivozoeleka. Kwa mana ugonjwa huu ukiingia kwenye mji kama dsm tutaondoka kinyama..

kingine serikali ingetoa elimu juu ya aina ya mask ambazo zinatumika mana leo kwa macho yangu nimemuona trafiki amevaa maski lakin inaonekana kua ni ya kuzuia Vumbi na sio kwa ajili ya Cov19... Watu wamekua wakinunua mask bila kujua kama ni maalum kwa ajiri ya corona ama vumbi. Serikali itoe elimu juu ya hili maana kila mask leo hii imepanda bei
 
Coronavirus mpya inaweza kutoonyesha dalili za kuambukizwa kwa siku nyingi, mtu anawezaje kujua kama ameambukizwa. Mpaka wakati una homa na / au kukohoa na kwenda hospitalini, athari katika mapafu imefikia 50% na inakuwa umechelewa sana! Wataalam wa Taiwan wametoa ukaguzi rahisi wa kibinafsi ambao tunaweza kufanya kila asubuhi: Vuta pumzi kubwa na uizuie pumzi yako kwa sekunde zaidi ya 10. Ikiwa utaimaliza bila kukohoa, bila usumbufu au kubanwa nk inathibitisha kuwa hakuna athari kwenye mapafu, kimsingi inaonyesha kuwa hakuna maambukizi. Katika nyakati ngumu, tafadhali jikague kila asubuhi katika mazingira yenye hewa safi! Mapendekezo zaidi kutoka kwa madaktari wa Kijapani kuzuia kesi za COVID-19. Kila mtu anapaswa kuhakikisha kuwa anakunywa maji kidogo kila baada ya dakika 15 angalau. KWA NINI? Hata kama virusi vinaingia kinywani mwako ... kunywa maji au vinywaji vingine vitawashusha tumboni. Mara tu huko tumboni ACID iliyoko tumboni mwako itaua virusi vyote. Ikiwa hautakunywa maji ya kutosha mara kwa mara ... virusi vinaweza kuingia kwenye njia ya hewa na kuelejea mapafuni. Hiyo ni hatari sana. Pls tuma kwa familia na marafiki na kila mtu kuhusu hili!

Jr[emoji769]
 
Genius mshana ....strike the iron while it hot ...give them lesson

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usiogope sema waziri, CCM imesema hatuwezi tukaziacha hela za watalii eti kuna Corona, ni kwa mujibu wa Polepole. Wachina ni rafiki zetu hatuwezi kuwazuia kuna nchini.
 
Wagonjwa wa akili ni wengi kuliko tunavyodhani
Usiogope sema waziri, CCM imesema hatuwezi tukaziacha hela za watalii eti kuna Corona, ni kwa mujibu wa Polepole. Wachina ni rafiki zetu hatuwezi kuwazuia kuna nchini.

Jr[emoji769]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…