Lowassa kapata wapi utajiri mkubwa namna hii.mpaka sasa ameshatumia mabilioni ya fedha kwa viongozi wa dini pamoja na watanzania wenye njaa kuwashawishi wamsapoti katika harakati zake za kuingia ikulu.je huyu mtu ana malengo gani pale ikulu na kwanini atumie fedha nyingi kiasi hiki ili tu awe raisi wa nchi hii.? Jamani watanzania tukumbuke maneno ya mwalimu Nyerere mtu anayetumia fedha kwenda ikulu ni wa kumuogopa kama ukoma.mtajuta nawaambia haya asiyesikia la mkuu.....