Mwandwanga
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 3,057
- 1,573
Habari wanajamvi.
Tangu niliponunua hii simu mwaka 2015 nilikuwa napata tabu kuaccess PlayStation App maana nilikuwa naambiwa hii huduma haipatikani nchini kwangu.
Nilijaribu kuwasiliana na Sony Customer Care lakini nilikuwa sipati majibu, safari hii niliamua kuwatumia ujumbe moja kwa moja maana pale MLIMANI CITY NA ANISUMA walikuwa wananipa ahadi zisizo na utekelezaji.
Baada ya kutuma ujumbe mfululizo haya ndio matokeo niliyopata.
NIlianza hivi
Wakajibu hivi
Nikarudi tena
Ndipo wakasema hivi
Na baadaye kutumiwa ujumbe huu
Nilipofanya kama walivyosema mambo yamekuwa safi na nimeweza Access PlayStation kwenye simu yangu.
Kwa wale mnaotumia PlayStation ushauri wa games nzuri UNAHITAJIKA.
Tusameheane na hiyo lugha ya Malkia [emoji3]
[emoji767] Mchwa Shababi
Tangu niliponunua hii simu mwaka 2015 nilikuwa napata tabu kuaccess PlayStation App maana nilikuwa naambiwa hii huduma haipatikani nchini kwangu.
Nilijaribu kuwasiliana na Sony Customer Care lakini nilikuwa sipati majibu, safari hii niliamua kuwatumia ujumbe moja kwa moja maana pale MLIMANI CITY NA ANISUMA walikuwa wananipa ahadi zisizo na utekelezaji.
Baada ya kutuma ujumbe mfululizo haya ndio matokeo niliyopata.
NIlianza hivi
Wakajibu hivi
Nikarudi tena
Ndipo wakasema hivi
Na baadaye kutumiwa ujumbe huu
Nilipofanya kama walivyosema mambo yamekuwa safi na nimeweza Access PlayStation kwenye simu yangu.
Kwa wale mnaotumia PlayStation ushauri wa games nzuri UNAHITAJIKA.
Tusameheane na hiyo lugha ya Malkia [emoji3]
[emoji767] Mchwa Shababi