Naona hawajampanga Okwi, kwa hiyo wameamua kuheshimu maamuzi ya kamati ya TFF?Here's Young Africans line-up to face Ashanti United today: 1.Deogratias Munish "Dida" -30 2.Juma Abdul - 12
3. Oscar Joshua - 4
4. Mbuyu Twite - 6
5. Kelvin Yondani "Cotton" - 5
6. Frank Domayo "Chumvi" - 18
7. Mrisho Ngasa - 16
8. Haruna Niyonzima -8
9. Didier Kavumbagu - 7
10. Said Bahanuzi - 11
11. David Luhende - 3
Subs:
1. Ally Mustafa "Barthez" - 1 2. Nadir Haroub "Cannavaro" - 23 3. Hamis Thabit - 22 4. Nizar Khalfani - 16 5. Hussein Javu - 21 6. Saimon Msuva - 27 7. Jerson Tegete - 10
Haya tunasubiri hadi mwisho ndio tutajua nani wa Mirembe.Mtu yeyote mwenye utimamu kichwani mwake anajua kabisa bingwa wa msimu huu ni Manji boys.
Kama husia zako zipo tofauti na kauli yangu naomba wahi MIREMBE fasta.
Cc Masuke Baba V ndetichia Kitoabu ACCOUNT FULL Revocatus Kashaga Katavi watu8
Kumbe ndio kisa cha kujitoa fb yule jamaa...mkuu hizo taarifa sidhani kama zilikuwa sahihi.
na inasemekana hata eddo alipost hayo matokeo, alivurumishiwa matusi...na inasemekana ndio chanzo cha yeye kujitoa fb.
Pamoja Mkuu.sipo uwanjani mkuu ila snap moja hii...
Hata kama upo kunako tv tupe updates.sipo uwanjani mkuu ila snap moja hii...
Usihofu utapata hayo matokeo. BTW kumbe na huku huwa unapita nilidhani ni siasani tuWaliopo uwanjani mtupe matokeo wakuu tunayajitaji sana simiyu ni mbali sana na uwanja wa taifa.
vikosi vya baadhi ya timu ndio najitahidi kuvitupia..Hata kama upo kunako tv tupe updates.
Umeonewa nini? Kama vp musiingize timu uwanjani iwe kama munaandamana kupinga kitendo cha Okwi kutokua hata bench.Yaani Okwi hayupo hata benchi. Huu ni uonezi
ndio hivyo mkuu...hv matokeo ya YANGA vp had ss hv?Kumbe ndio kisa cha kujitoa fb yule jamaa...
hee ishafikia huku..Dk 35 yanga 0:0 ashant utd
ndio raha ya mpira...unatuunganisha!!Usihofu utapata hayo matokeo. BTW kumbe na huku huwa unapita nilidhani ni siasani tu
hiki ni kikosi cha CUSC v JKT
Said Lubawa Hamad Juma Othman Tamim Juma Nyoso Mbwana Kibacha Jerry Santo Atupele Green Razakh Khalfan Yayo Kato Danny Lyanga na Kenneth Masumbuko. Sub ni Mansour Alawi Abdi Banda Yusuf Chuma Mohammed Miraji Ayoub Semtawa Suleiman Kassim na Abdullah Othman.
Usihofu utapata hayo matokeo. BTW kumbe na huku huwa unapita nilidhani ni siasani tu
timu yenu ni nzuri ila ina tatizo moja kama kocha atakuwa amelitatua kwenye safari ya uturuki huenda mkafanya vizuri, kama huna macho ya kishabiki na ulikuwa unaangalia vizuri timu yenu ilikuwa na tatizo la kiungo mkabaji pamoja na beki wa kati hata beki wa kushoto naye hakuwa mzuri sana pamoja na kwamba alikuwa anajitahidi kupanda na kupiga krosi nyingi lakini huwa anafanya makosa mengi sana na huwa anachelewa kurudi kusaidia wakati mnaposhambuliwa hasa inapotokea counter attack, na kama hilo tatizo halijatatuliwa itakuwa ngumu sana kuzuia kufungwa mkikutana na timu yenye uchu wa magoli na kwa sababu washambuliaji wenu ni wazuri basi itakuwa kuwahiana atakayewahi kuwa na magoli mengi hadi dakika 90 basi ndo mshindi.
Nikiangalia naona timu zote tatu zina nafasi ya kuchukua ubingwa, ningeweka nne lakini mbeya city nafasi ya wao kuchukua ubingwa ni finyu ukilinganisha na azam, simba na yanga.
Kutakua na tatizo gani mechi hii ikiisha na matokeo haya haya?Dk 35 yanga 0:0 ashant utd
Kushakucha.cusc 1 - 0 jkt yaya kato 5'