Naam VPL-Tanzania leo timu kongwe ziko uwanjani: kama kawa Simba itaendeleza rekodi yake ya kutofungwa! lakini Yanga moto iliouwasha juzi utaendelea kuwaka au utazimika!!!! twende zetu uwanjani.
Naam VPL-Tanzania leo timu kongwe ziko uwanjani: kama kawa Simba itaendeleza rekodi yake ya kutofungwa! lakini Yanga moto iliouwasha juzi utaendelea kuwaka au utazimika!!!! twende zetu uwanjani.