leiya
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 648
- 1,546
Kama tulivyoaminishwa hapo awali wakati wa kuweka makubaliano mbalimbali kuwa kabla mwaka huu haujaisha projects kubwa zingekuwa zimeanza.
Tofauti na matumani ya waTz wengi, bado tupo gizani hatujui ni nini hatima ya projects hizi.
Kwa yeyote mwenye UPDATES ya project tajwa na nyingine zilizoahidiwa atupe tuishi kwa matumaini zaidi.
Tofauti na matumani ya waTz wengi, bado tupo gizani hatujui ni nini hatima ya projects hizi.
Kwa yeyote mwenye UPDATES ya project tajwa na nyingine zilizoahidiwa atupe tuishi kwa matumaini zaidi.