Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,798
- 218,445
CHAMA CHA SIASA NI MABARABARANI NA MAJUKWAANI - JK NYERERE , sasa ukichanganya na haya ma semina ya ndani ni hatari sana .
mkuu hebu niweke sawa hiyo mwenyekiti wa BVR bado sijakupata .mwenyekit BVR mkoani mtwara Salimu Ally anasema atahakikisha anawahasisha vijana wenzake wa mtwara wanajiandisha kwenye daftari la kupiga kura kwa amani bila matisho,
anasema hataogopa kuongelea masuala gesi kwa ajili ya maendeleo ya wana mtwara,
Wamekuja kushangaa sio kusikiliza
Huko hapo?kwa nini usitubariki na picha?16:30 muheshimiwa Tundu lisu yuko jukwaani sasa,
anasema ktk kipindi cha miaka 3 mtwara tumeona mambo mengi mazuri na mabaya,
anasema amekuja ili kutuambia ukweli wa mambo mengi yaliyotanda ndani ya inchi hii,
anasema leo tar 26-4-2015 Tanzania ina miaka 53 ya uhuru,
lkn ukienda kwenye kona yoyote ya tanzania ni kilio,
anasema wilaya ya geita ndio inayoongoza kwa kuwa dhahabu nyingi duniani lkn ni wilaya masikini ajabu,
anasema gesi iliyogundulika mtwara ni nyingi kuliko iliyogungulika ukanda wote Rvuma base kwa upande wa msumbiji, lkn gasi hii imeanza kuwa laana kwa wanainchi wa mtwara,
anasema ameshangaa kusikia ccm wamempa hekari nyingi sana mfanya biashara Dangote ili kujenfa bandari yake binafsi ili kusafirisha gesi kwenda ulaya, anasema gesi iliyogundulika mtwara ni wana mtwara kwa vile mtwara ni mkoa mmoja wapo wa taifa la tanzania,
anasema gesi hii imepewa wazungu wanaolala Nairobi lkn wanachimba gesi tanzania,
anasema wazungu hawa wameshachimba gesi kwa miaka 15 sasa lkn Tanzania haijafaidika kwa lolote hadi sasa,
anasema tusijidanganye kuwa umasikini wa watanzania kuwa umeletwa na mungu bali umeletwa na utawala wa inchi hii,
Mods pandisha hii plz16:30 muheshimiwa Tundu lisu yuko jukwaani sasa,
anasema ktk kipindi cha miaka 3 mtwara tumeona mambo mengi mazuri na mabaya,
anasema amekuja ili kutuambia ukweli wa mambo mengi yaliyotanda ndani ya inchi hii,
anasema leo tar 26-4-2015 Tanzania ina miaka 53 ya uhuru,
lkn ukienda kwenye kona yoyote ya tanzania ni kilio,
anasema wilaya ya geita ndio inayoongoza kwa kuwa dhahabu nyingi duniani lkn ni wilaya masikini ajabu,
anasema gesi iliyogundulika mtwara ni nyingi kuliko iliyogungulika ukanda wote Rvuma base kwa upande wa msumbiji, lkn gasi hii imeanza kuwa laana kwa wanainchi wa mtwara,
anasema ameshangaa kusikia ccm wamempa hekari nyingi sana mfanya biashara Dangote ili kujenfa bandari yake binafsi ili kusafirisha gesi kwenda ulaya, anasema gesi iliyogundulika mtwara ni wana mtwara kwa vile mtwara ni mkoa mmoja wapo wa taifa la tanzania,
anasema gesi hii imepewa wazungu wanaolala Nairobi lkn wanachimba gesi tanzania,
anasema wazungu hawa wameshachimba gesi kwa miaka 15 sasa lkn Tanzania haijafaidika kwa lolote hadi sasa,
anasema tusijidanganye kuwa umasikini wa watanzania kuwa umeletwa na mungu bali umeletwa na utawala wa inchi hii,