Najua magamba mlio wengi maisha yenu yanategemea sana uwepo wa ccm madarakani, ndo maana mnajipendekeza ili mteuliwe kushika nyazifa mbalimbali ndani ya ccm na serikali.
Bila kufahamu kwamba kila lenye mwanzo lina mwisho wake, na dalili ya mvua ni mawingu. Someni alama za nyakati 2015 chadema tunachukua nchi sijui mtajificha wapi, wakubwa wenu washaandaa makazi nchi za nje ndo maana kila mara wanaenda ili kutengeneza ujirani mwema na wenyeji wa huko ili wawafiche pale tutakapokuwa tunawasaka baada ya kukwapua hela zote hazina ili kwamba chadema ikose fedha ya kuendeshea serikali.
Zinduka kijana, zinduka baba, zinduka mama, vua gamba vaa gwanda m4c forever. Kwa pamoja tuungane kuikomboa nchi yetu kutoka mikononi mwa mafisadi. Pipoooooooooooooooooz????
Bila kufahamu kwamba kila lenye mwanzo lina mwisho wake, na dalili ya mvua ni mawingu. Someni alama za nyakati 2015 chadema tunachukua nchi sijui mtajificha wapi, wakubwa wenu washaandaa makazi nchi za nje ndo maana kila mara wanaenda ili kutengeneza ujirani mwema na wenyeji wa huko ili wawafiche pale tutakapokuwa tunawasaka baada ya kukwapua hela zote hazina ili kwamba chadema ikose fedha ya kuendeshea serikali.
Zinduka kijana, zinduka baba, zinduka mama, vua gamba vaa gwanda m4c forever. Kwa pamoja tuungane kuikomboa nchi yetu kutoka mikononi mwa mafisadi. Pipoooooooooooooooooz????