UPDATES: Mkutano wa CHADEMA jijini London...

UPDATES: Mkutano wa CHADEMA jijini London...

Chadema sidhani kama wana uelewa wa kutosha kuhusu jamii ya wa Tanzania na maana ya mwezi mtukufu wa Ramadhani.

Simply; huu ni ushahidi mwingine wa kutosha kuwa Chadema ni chama cha walokole na walevi
 
Vijiji vingi Tanzania hakuna matawi ya chadema mnaenda kufungua matawi uingereza jamani hiki chama na chenyenyewe hiki wasiwasi mtupu!

Hakuna tawi wala nini hapo watu wamefuata ulaji na unywaji tu! Hao si wapiga kura wanafaida gani?

Chama
Gongo la mboto DSM
 
Hakuna tawi wala nini hapo watu wamefuata ulaji na unywaji tu! Hao si wapiga kura wanafaida gani?

Chama
Gongo la mboto DSM


Nikweli, hao akina Chris hapo bar ya wakenya ndipo wanapo kesha kwa kukata kilaji mapaka wanafunkuzwa majumbani na wake zao, wamempeleka mlevi Mwenzao Lema wakavinjari
 
Maaana yake nini kufungua tawi la CHADEMA kwenye Bar ya Wa KENYA tena MWEZI WA RAMADHANI.

Au ndio maagizo ya Ndesamburo?

images

mwezi wa ramadhani ndiyo kitu gani?
 
Chadema sidhani kama wana uelewa wa kutosha kuhusu jamii ya wa Tanzania na maana ya mwezi mtukufu wa Ramadhani.

Simply; huu ni ushahidi mwingine wa kutosha kuwa Chadema ni chama cha walokole na walevi

Kama wangekuwa walokole wamepanga event lazima ingekuwa church sio baa. Mbona siku hizi za mwezi Ramadhani wauza pombe wote wanalalamika biashara yao inadorora??
 
Kama wangekuwa walokole wamepanga event lazima ingekuwa church sio baa. Mbona siku hizi za mwezi Ramadhani wauza pombe wote wanalalamika biashara yao inadorora??

Tukiite chama cha walevi ???
 
Eti kasahau Kiswahili, unafiki mtupu

UOTE=Mingoi;4390735]Duh! mkuu hizo ni swaga za London au typing errors?[/QUOTE]
 
Hawa ni walafi yaani wanataka kuwaingiza waislamu baa nadani ya mfungo eti hawatafanyia sehemu ya baa huo ni uongo mtupu hayo mazingira ni yakilevi ni sawa na kusema mkutano tunaufanyia guest house lakini hatufanyia vyumbani humo ni ngono tupu hivi wanataka kusema London hakuna kumbi za park ? Mbona kumbi nyingi tu ambazo haziuzi vilevi? Wanadai eti watu wanapotosha mimi naona wao wanajipotosha wenyewe

Chama
Gongo la mboto DSM
 
TIyari Watu wameanza kuandika kutosha Marengo mbali mbali za ya London na shughuli yens ewe utaanza saa mbilinyi na unsigned ya Huku London ili WBA wale waisilamu wewe wameshafuturu na kujiunga na safari hii ya uko bozo .

Naona jirani zetu wa malawi ndio mshaanza kujipenyeza kupitia CHADEMA ! chadema kuweni makini
 
Naona jirani zetu wa malawi ndio mshaanza kujipenyeza kupitia CHADEMA ! chadema kuweni makini



Mkuu, msitafute wachawi!! hii ni moja katai ya uzembe, ujinga na ubabaishaji wa chadema, bado hawaja komaaa na hawana uwezo wa kutosha
 
Mkuu, msitafute wachawi!! hii ni moja katai ya uzembe, ujinga na ubabaishaji wa chadema, bado hawaja komaaa na hawana uwezo wa kutosha

Mkuu kile kiswahili hakifanani na cha hapa nyumbani...kama cha malawi vile
 
Mkuu kile kiswahili hakifanani na cha hapa nyumbani...kama cha malawi vile

Haaaaa!! Nilikuwa sijakiona, nadhani ni mkiswahili cha kitanzania, ispokuwa alikuwa na hasira sana na chadema kuhusiana na uzumbukuku wao!!
 
pamoja watanzania tutafika kwenye madiliko ya kweli
 
Hivi Watanzania ushamba utatuisha lini yaani mtu unakwenda kwenye kampuni za Tours, self drive unakodisha Vogue halafu unapiga nalo picha.

Ni ushamba tu tunao mwingi, ama kweli akili ni nywele!
 
Kamanda lema anaunguruma muda Hapa london,Kwa kweli anaeleza mambo ya maana na yenye kuitakia mema sana tanzania
nipo kwenye mkutano,watu si wengi sana lkn kwa siku kama ya leo kwa kweli watu wameitikia
ntakuwa nawaletea update kila ntakapokuwa napata muda Hapa...aksanteni
 
anasema sio dhambi kumtoa rais mwizi mahakamani ila ni dhambi kumwacha rais mwizi mahakamani
 
Back
Top Bottom