Mimibaba
JF-Expert Member
- Jul 1, 2009
- 4,557
- 1,291
Utaratibu wa kupata viongozi CCM haiwezekana mtu aliyejiunga chama siku hiyo hiyo akawa kiongozi. Kuna taratibu za fomu, mahojiano na kama mbali mbali kabla jina kupitishwa.
Mahojiano hayo kwa CCM ni muhimu kubaini kama mgombea amekubuhu kwenye ufisadi, CDM sifa muhimu ni kuendeleza mapambano dhidi ya ufisadi