Elections 2015 Updates: Mchakato na Matokeo ya kura za maoni ya Ubunge CCM nchini kote

unaitishia kujamba wakati unaharisha kijana sema habari za ukweli jamaa kakamwata na kesi ya rushwa na kahojiwa na takukuru but nothing new yet kuwa mpole na acheni tabia za kudanganya watu

Sasa kama unabishana na ukweli subiri taarifa ya habari, si hilo tu na boss wenu Nape nae kapigwa chini kura za maoni.
 
Jerry Slaa aliyekuwa anagombea ubunge jimbo la ukonga ktk matokeo ya kura za maoni jimboni ukonga ameshindwa ktk kula za maoni ukonga kwa kura zaidi ya 4,000 na mpinzania wake mwenye asili ya kiasia aliyepata kura 5139 na jerry kupata 1034
Duuu hatariiiii
 
viva Dr Mwakyembe.
Erythrocyte , Ndalama niliwaambia mwakyembe akishindwa ntatembea uchi kutoka dsm mpaka matema.

Nyie watoto acheni nyege za kisiasa watu wazma tupo tunaijua system

Tuliwaambia hawa watoto wetu wasiojua siasa zinavyofanywa lakini hawakutaka kutuelewa wazee wao.
 
Last edited by a moderator:
Chalinze: Riziwani Kikwete ameshinda
Wakati Ahmed Nasar akiangushwa nafasi ya udiwani kata ya Bwilingu (kata ya maeneo ya Chalinze mjini)
 
mleta mada acha wivu,fitina na roho mbaya,inaelekea ulikua ukiomba na kusali asishinde.huo ni wivu wa kike kike.
 
Back
Top Bottom