Chungurumbira
JF-Expert Member
- Jan 3, 2013
- 2,170
- 571
WAnaJf ningependa japo kujua hali ya kiongozi muhimu wa taifa hili. Hali yake ikoje huko aliko???!!
mara ya mwisho alipelekwa bondeni sijuii kinachoendelea huko,ngoja nikamdadisi msemaji wa taasisi yake
habari iliyopo ni kwamba anatarjia kurudi hivi karibuni
Kaazi kweli kweli hata swaiba wao Dr Uli nae si alikua huko huko?mara ya mwisho alipelekwa bondeni sijuii kinachoendelea huko,ngoja nikamdadisi msemaji wa taasisi yake
mara ya mwisho alipelekwa bondeni sijuii kinachoendelea huko,ngoja nikamdadisi msemaji wa taasisi yake
bondeni alikaa siku mbili akapelekwa india,yule mbu aliyemuuma mkuu huyu ni hatari kuliko anoferes jike,lile litakuwa dume!
Atarudi akiwa anatembea au kwenye jeneza??..
teh teh teh...! Umeonaaaa,mbu huyu si wa kawaida kwa kweli ingewezekana wafanye msako wamuue,watu wa Rock city mtusaidie katika hili huenda aliuumwa kipindi cha uchunguzi wa kifo cha marehemu Barlow maeneo ya kitangiri minazi miwili kama sijasahau!Hahahhaaaa ... hilo halikuwa jike wala dume... hilo lilikuwa jikedume!!!
Atarudi akiwa anatembea au kwenye jeneza??..