Updates: Kutoka Jangwani Leo tarehe 24.10.2015

Updates: Kutoka Jangwani Leo tarehe 24.10.2015

Status
Not open for further replies.
Unaanzisha Uzi kwa ajili ya kuulizia update si Bora ungemPM Makene?
 
Sijui nilichoandika nielekeze! Mnawekeza Siasa kwa wahuni subirini matokeo yake! Dirisha dogo la usajili mnasajili Makongoro Mahanga, Ole naiko, Mgeja, Sumaye na Mwapachu mnasema mmeipasua Ccm? Mbowe pekee ndio hajapata hasara kwny Mchakato huu kwa kuwa hajakodisha Chama kwa Mkopo kachukua hard cash.

...haya mapovu mtaendelea kuyatoa mpaka lini?
 
Pole sana, Lowassa ndio habari yenyewe.

2157554521065238871

Fisadi utamchagua mwenyewe..hata mkeo hatokuunga mkono
 
Leo ni jangwaniii full time...!!! Ukombozi ni keshoooo...!!!👏👏✌✌
 
Kaazi kweli kweli.Taifa lote linasubiri Mkutano wa Mrithi wa Baba wa Taifa Mwl Nyerere anaitwa Mwl John Pombe Magufuli.

acha kulinganisha kisu cha miti na jambia la chuma.

unamdhalilisha mwasisi wa taifa mkuu
 
wale wa kutoka arusha,tanga,kilimanjaro hawakuletwa kuujaza uwanja?? hawajakesha kweli km siku ile walivyokosa pa kulala
 
Jamani lazima tujue nuru nagiza avipatani sasa ccm nigiza watampendaje Lowassa jaman safali hii atumpi shetani ushindi kwakuchagia ccm
 
kaazi kweli kweli.taifa lote linasubiri mkutano wa mrithi wa baba wa taifa mwl nyerere anaitwa mwl john pombe magufuli.

yani we ni ndezi miaka milioni kufuli lishinde kwa kura zp? Yeye ajiandae kuwa bodi gadi tu ndio maana alikuwa anapiga push up nyie mazombi hamkuelewa lolote.
 
Wanamabadiliko,Leo ndio ile siku ya FUNGAKAZI ambayo tulikuwa tunaisubiria hususani kwa watu wa DSM hapo Jangwani.Hadi sasa sijaona updates zozote ya juu kinachoendelea pale Jangwani, mwenye nazo naomba atupie hapa. Wengine tupo mbali na Dar ila tunataka kujua kila kinachoendelea
Hatuna muda leo tupo mwanza, kusanyeni malofa wenu na wanywa viroba
 
Hatuna muda leo tupo mwanza, kusanyeni malofa wenu na wanywa viroba

Wewe mchepuko wangu nishakwambia ili niendelee kukuhudumia na kukutunza inabidi umpigie Lowassa....la sivyo nitafanya maamuzi magumu....
 
Jamani eeh?Wanamabadiliko tukutane pale Jangwani,mie niko tayari....
Leo ndio siku ya mwisho na ya kihistoria,unakosekanaje kwenye historia hiyo?
Utajiitaje mwana mabadiliko?
#TukutaneJangwani
 
Hatuna muda leo tupo mwanza, kusanyeni malofa wenu na wanywa viroba

Jana mumehangaika kweli kujaza watu ili mradu muonekane munapendwa.
Mumeshindwa kazi achie kwa usalama kesho.
 
Paw invisble

Huu kama muhusika hayuko kwa mkutano ufutwe kina Molemo na Ocampofour wataripoti
 
Last edited by a moderator:
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom