Updates: Kutoka Jangwani Leo tarehe 24.10.2015

Updates: Kutoka Jangwani Leo tarehe 24.10.2015

Status
Not open for further replies.

gublod

JF-Expert Member
Joined
Nov 14, 2013
Posts
367
Reaction score
166
Wanamabadiliko,Leo ndio ile siku ya FUNGAKAZI ambayo tulikuwa tunaisubiria hususani kwa watu wa DSM hapo Jangwani.Hadi sasa sijaona updates zozote ya juu kinachoendelea pale Jangwani, mwenye nazo naomba atupie hapa. Wengine tupo mbali na Dar ila tunataka kujua kila kinachoendelea
 
Ulete updates sasa sio kuweka uzi afu unaukimbia
 
Kaazi kweli kweli.Taifa lote linasubiri Mkutano wa Mrithi wa Baba wa Taifa Mwl Nyerere anaitwa Mwl John Pombe Magufuli.
 
Hivi maana ya updates ni nn.unafunguaje uzi halafu hauko Dsm.wenzio tuna mzuka wa kesho usituvuruge
 
kumbuka kesho kufanya hivi

2157554521065238871
 
Kaazi kweli kweli.Taifa lote linasubiri Mkutano wa Mrithi wa Baba wa Taifa Mwl Nyerere anaitwa Mwl John Pombe Magufuli.

Unajua ulichoandika kweli? Mwinyi =0,Mkapa=0,Kikwete=0 then Magufuli=NYerere? Au Likud unamaanisha nini?
 
Sasa wewe unategemea updates kwenye tv ndio utuhabarishe!!!unawajua Tanesco wewe!!!?
 
Unajua ulichoandika kweli? Mwinyi =0,Mkapa=0,Kikwete=0 then Magufuli=NYerere? Au Likud unamaanisha nini?

Sijui nilichoandika nielekeze! Mnawekeza Siasa kwa wahuni subirini matokeo yake! Dirisha dogo la usajili mnasajili Makongoro Mahanga, Ole naiko, Mgeja, Sumaye na Mwapachu mnasema mmeipasua Ccm? Mbowe pekee ndio hajapata hasara kwny Mchakato huu kwa kuwa hajakodisha Chama kwa Mkopo kachukua hard cash.
 
Sijui nilichoandika nielekeze! Mnawekeza Siasa kwa wahuni subirini matokeo yake! Dirisha dogo la usajili mnasajili Makongoro Mahanga, Ole naiko, Mgeja, Sumaye na Mwapachu mnasema mmeipasua Ccm? Mbowe pekee ndio hajapata hasara kwny Mchakato huu kwa kuwa hajakodisha Chama kwa Mkopo kachukua hard cash.

Tulia wewe gamba kelele za chura hizo muda ndio umeisha na LOWASSA NDIE RAIS!
VIVA UKAWA!!!!
 
Me namalizia kujiandaa hapa, nichukue dala dala
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom