peter tumaini
JF-Expert Member
- Feb 3, 2012
- 573
- 94
HAKIKA NAMPONGEZA ANKO MPENDAZOE HASA KUPITIA KITABU CHAKE CHA `TUTASHINDA" hakika naamini atashinda.
wishful thinking!kuna kila dalili hapa za jimbo hilo kuwa wazi...wacha tuvute subira.
CCM ni wajanja sana katika hili. Walijua kuwa mbinu zao za wizi zimeng'amuliwa na kwamba Mpendazoe akienda kortini lazima Mahanga aenguliwe. Nadhani CCM wameshaanza kujiandaa kwa ajili ya uchaguzi mdogo wa jimbo la Ukonga na huko pia "WataIgunga" uchaguzi huo. Ni vyema mwizi huyu wa kura akafunguliwa mashtaka ya wizi wa kuaminiwa wa stahili za wananchi wa Ukonga na azuiwe kupigania chaguzi yoyote ile inayosimamiwa na NEC. Hii ndio njia pekee ya kuondokana na mafisadi wa kura.