Encyclopaedia
Member
- Feb 27, 2012
- 60
- 9
Makongoro si ujiuzulu tuu mbona wakury hatuko hivo Mura
Lakini mwisho utaona ........maamuzi ya majaji wetu eti ushahidi wa wadai haujitoshelezi! Mahanga ataendelea kupeta!
Hivi unajisikiaje kuwaongoza watu ambao hawakukuchagua!?
Dah mzee hizi mahakama zetu nazo zina walakini siku hizi maana nazo kama zimekuwa political arena behind curtainsMahanga hawezi kuchomoka kwenye hiyo kesi so cha msingi kwa wapenda mageuzi tujiandae tena kwa uchaguzi mdogo.