Ndondombi Mulin
JF-Expert Member
- Mar 13, 2016
- 755
- 3,338
Mshahara wake Gross ni 7,000,000 Tshs.Nimeshangaa CAG anasema mshahara wake ni 4 .7M
Baada ya makato ndio anapata hiko chochote kitu. SIO HABA.
Kwa Nchi Masikini kama Tanzania, bado ni mshahara reasonable kabisa.