Aaah mkuu usijifanye hujaelewa.. Mie nataka majibu ya hiyo interview.. Namaanisha majibu ya maswali yatakayoulizwa..!majibu ni kesho jioni wata post mtandaoni
ila mliosoma mna kazi1. indicators of good governance 2. what challenges you expect to meet as office assistant



Sio kweli. Watumishi wa serikali na mashirika ya Umma wamekataliwa kufanya. Kama kaforce basi ni for his essenceInterview ya ngorongoro conservation watu ni wengi sna kuna jamaa nimekutana nae ni mwalim wa shule ya msingi ila amefanya interview ya office assistant
Vijana ni mwendo wa kuchomekea, kwa mbali namuona mmoja anajiweka sawa kabisa..... kina dada kumbe nguo za kuwasitiri mnazo masandukuni mwenu!!![]()
Mambo ya Ngorongoro hayo
wasaidie mitaji basiKwan watafanya kaz gan haswaa
Kujiajili rahaa lait eangetambua
Kwenye writen nenda hata na Pensi utapiga pepaVijana ni mwendo wa kuchomekea, kwa mbali namuona mmoja anajiweka sawa kabisa..... kina dada kumbe nguo za kuwasitiri mnazo masandukuni mwenu!!
Kwenye writen nenda hata na Pensi utapiga pepa
Yeah ila Siku ya Oral ndo Ujitahidi Kuvaa Vizuri (Proper) huku Ukiwa umenyoa Vizuri hasa NdevuHahah noma sana maana kuna siku jamaa alikula kanzu kabisa
Bro tafadhari naomba msaada hapa.... nimepata taarifa toka kwa walio fanya usaili leo kuwa... kuna walio fanya usaili wa tanapa hapo hapo chuo cha uhasibu je ni kweli mlitangaziwa hili....Interview ya ngorongoro conservation watu ni wengi sna kuna jamaa nimekutana nae ni mwalim wa shule ya msingi ila amefanya interview ya office assistant
Hapo napo tatizoo,wasaidie mitaji basi
Itakuwa ni vizuri mkuu ukatoa hata kasomo kidogo juu ya hilo hakika utakuwa umesaidia vijana wengi hakuna anaependa kutumikishwa ila hali haziruhusu hasa ukifatilia maisha mtu atokayo usikute labda wewe wakishua ebu wafungue vijana kipi na kipi wafanye ili wajikwamue ukiacha zile theory za kina shigongo ambazo nyingi ni nadharia zaidi.Hapo napo tatizoo,
Mie nilianzaga kufyt nikiwa na zero kabisa just uaminifu na juhud ilinisaidia