Dah ukweli wa Mungu kulingana na course nliyo soma hakuna swali ambalo ningeweza kujibuni haya tu mkuu?
ila asante sana naona maswali yanaendana na sector ya clearing and forwading.
ntayatafutia majibu pia maana ajira za Tz shipping agency zinakuja
uliapply kazi bila kuiwekea jitihada za kuipata mkuuDah ukweli wa Mungu kulingana na course nliyo soma hakuna swali ambalo ningeweza kujibu
weka maswali mengine mkuu!!Dah ukweli wa Mungu kulingana na course nliyo soma hakuna swali ambalo ningeweza kujibu
Yalikuwa manne tu kiongoziweka maswali mengine mkuu!!
Yalikuwa manne tu kiongoziweka maswali mengine mkuu!!
daah pole mkuu try again laterYalikuwa manne tu kiongozi
upo mkoa?Nliweka juhudi but ratiba ili bana nikashindwa kuja
Haya yalikuwa ni ya CUSTOMS OFFICER IIHaya ndio yalikuwa maswali kiongozi
1. What should appear in a custom inspection report
2. Necessary documents for shipping merchandise...
kweli ajaribu tena asikate tamaa ,uzuri hizi kazi hua wanatangaza karibia kila mwaka ,ila inabidi utafute pia na notes za customs usome mkuu.daah pole mkuu try again later
vipi kiidadi mlikuwa wangapi?
Nilisoma nikaona ni maswali rahisi Sana lakini nilivyoanza kujibu tu nikagunduwa siyo maswali rahisi nikaamuwa kujibu hivyo hivyo kila swali point 10-13 maana zilikuwa zinakuja nyingi sana ila nimeshafaulu ,,mkiona amefauru mtu mmoja tuu mjuwe ni Mimi tuu😂😂😂😂😂😂Haya ndio yalikuwa maswali kiongozi
1. What should appear in a custom inspection report
2. Necessary documents for shipping merchandise...
duuuh point 10-13 ulkua unaandika essay auNilisoma nikaona ni maswali rahisi Sana lakini nilivyoanza kujibu tu nikagunduwa siyo maswali rahisi nikaamuwa kujibu hivyo hivyo kila swali point 10-13 maana zilikuwa zinakuja nyingi sana ila nimeshafaulu ,,mkiona amefauru mtu mmoja tuu mjuwe ni Mimi tuu😂😂😂😂😂😂
Mambo mengi tuu zilikuwa zinakuja zenyewe tuuuduuuh point 10-13 ulkua unaandika essay au
Upo Kasulu sehemu gani mkuu? Lilikua chimbo langu huko vuruga sana mitaa ya lightness, Sofya na viunga vyake...Ndio npo kigoma kasulu ila kama maswali ndo hya nisinge fanikiwa