Mohamedi Mtoi
R I P
- Dec 11, 2010
- 3,321
- 6,327
Mtakumbuka kuwa leo ni mchezo kati ya Coast union ya Tanga na Yanga ya Dsm, mchezo unachezwa uwanjani wa Mkwakwani jijini Tanga.
Uwanja umejaa shamra shamra za mashabiki wa timu zote mbili. Yanga wakiwa wanashangilia kwa matarumbeta, Coast wakipiga baikoko. Upande wa jukwaa la Yanga mashabiki walio kuwa wamevaa nguo nyekundu wamevuliwa nguo zao na nguo hizo kurushwa uwanjani.
Nitaendelea kuwajuza mpira ukianza.
Uwanja umejaa shamra shamra za mashabiki wa timu zote mbili. Yanga wakiwa wanashangilia kwa matarumbeta, Coast wakipiga baikoko. Upande wa jukwaa la Yanga mashabiki walio kuwa wamevaa nguo nyekundu wamevuliwa nguo zao na nguo hizo kurushwa uwanjani.
Nitaendelea kuwajuza mpira ukianza.