Kazi nyingi wanazotangaza ni internal advertisement ambayo sasa inategemea kama kuna mtu anakufahamu una sifa ambaye yuko ndani tayari ya kampuni anaweza kukupenyezea hizo information na wewe waweza peleka cv kama wataipenda watakuita kwa ajili ya interview.
Jinsi ya kupata kazi vodacom,nijuavyo mimi:unapelea cv kwa specialist recruitment mfano kwa hapa dar unapeleka CV yako pale EROLINK,baada ya kuipitia wao wanakupigia simu,then wanakupa intavyuu kulingana na voda,intavyuu ya kwanza ni mtihan ambao ni general knowledge,then wanakupa test ya kompyuta,kama utafuzu baada ya wiki wanakupigia simu kwa oral intavyuu,then wanapeleka majina vodacom kwa waliopita kula nako kuna training na intavyuu nyingine,ukuqualify wanakuajiri
Imbombo ngafu bora niendelee na mibizness yangu haya mambo ya kuajiriwa ni kupotezeana mida tu.........process zote hizo utafikiri unahajiriwa na cia????? Khaaaaaaa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.