Upatikanaji wa kazi airtel na vodacom

Uncle dan

Member
Aug 21, 2011
8
0
Naomba mnifaamishi jinsi ya kupata kazi katika makampuni haya mawili kama una diploma ya manunuzi na usambazaji.asanteni
 
Cjawahi kuona matangazo kutoka katika hizo kampuni cjui wanatumia criteria gani kuajiri.
 
Kazi nyingi wanazotangaza ni internal advertisement ambayo sasa inategemea kama kuna mtu anakufahamu una sifa ambaye yuko ndani tayari ya kampuni anaweza kukupenyezea hizo information na wewe waweza peleka cv kama wataipenda watakuita kwa ajili ya interview.
 
cheki na eurolink reqruitment agent wa voda kwa call centre staff ipo mitaa ya morocco pale kinondoni
 
huh kumbe ni uncl dan ungekua bibie unapiga tu mek up then ukifika tu pale basi ushapata kazi
 
Jinsi ya kupata kazi vodacom,nijuavyo mimi:unapelea cv kwa specialist recruitment mfano kwa hapa dar unapeleka CV yako pale EROLINK,baada ya kuipitia wao wanakupigia simu,then wanakupa intavyuu kulingana na voda,intavyuu ya kwanza ni mtihan ambao ni general knowledge,then wanakupa test ya kompyuta,kama utafuzu baada ya wiki wanakupigia simu kwa oral intavyuu,then wanapeleka majina vodacom kwa waliopita kula nako kuna training na intavyuu nyingine,ukuqualify wanakuajiri
 
Imbombo ngafu bora niendelee na mibizness yangu haya mambo ya kuajiriwa ni kupotezeana mida tu.........process zote hizo utafikiri unahajiriwa na cia????? Khaaaaaaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom