Upanuzi wa barabara ya Morogoro

Upanuzi wa barabara ya Morogoro

Hivi tangu aingie madarakani kaanzisha miradi mingapi ya barabara na km ngapi zimeshajengwa?
 
Hivi tangu aingie madarakani kaanzisha miradi mingapi ya barabara na km ngapi zimeshajengwa?
Mingi tuu, mfano kutoka kimara korogwe mpk external ni kama km 5, kutoka Morocco pale hadi mwenge ishakamilika kama km 4 au 6 hivi,
Hiyo inayoanzia kimara kwenda kwenda kibaha iko jikoni inakaribia kuiva,
 
sijajua lini


Hii ingenoga sana kama ingeunganishiwa kipande kingine toka Kisarawe hado Vikindu kumrahisishia msafiri wa kutoka Mtwara na Lindi kwenda Dodoma na kanda ya kaskazini

Halafu watazame namna bora ya kukwepa kutumia matuta kama kidhibiti mwendo (iwe mtelezo tu)
 
Mingi tuu, mfano kutoka kimara korogwe mpk external ni kama km 5, kutoka Morocco pale hadi mwenge ishakamilika kama km 4 au 6 hivi,
Hiyo inayoanzia kimara kwenda kwenda kibaha iko jikoni inakaribia kuiva,
Kwaiyo anajivunia hizo km 15 miaka mitatu aliyokaa ofisini. Basi sawa.
 
Hii ingenoga sana kama ingeunganishiwa kipande kingine toka Kisarawe hado Vikindu kumrahisishia msafiri wa kutoka Mtwara na Lindi kwenda Dodoma na kanda ya kaskazini

Halafu watazame namna bora ya kukwepa kutumia matuta kama kidhibiti mwendo (iwe mtelezo tu)
hiyo barabara itakuwa fenced na itakuwa ya kulipia na pia itakuwa na madaraja maalumu ya kuvukia pia kuna lanes za speed mbalimbali fuatilia nyuzi za nyuma utaona kuhusu huo mradi unaanzia Kigamboni na kuishia chalinze pale karibu na zile ghorofa za NHC
 
hiyo barabara itakuwa fenced na itakuwa ya kulipia na pia itakuwa na madaraja maalumu ya kuvukia pia kuna lanes za speed mbalimbali fuatilia nyuzi za nyuma utaona kuhusu huo mradi unaanzia Kigamboni na kuishia chalinze pale karibu na zile ghorofa za NHC


Safi sana
 
Back
Top Bottom