Super Sub Steve
JF-Expert Member
- Jul 9, 2011
- 17,647
- 11,227
Itakuwa maskini tu Wala hatufiki popoteuyu baba akikaa angalau miaka 10 madarakani Tanzania itafika mbali sana.
Itakuwa maskini tu Wala hatufiki popoteuyu baba akikaa angalau miaka 10 madarakani Tanzania itafika mbali sana.
Ukizidi kupanua ndio wanazidi kutamani zaidi wewe huna umeme wenzio wanao. Shauri yakobora wapanue tu, tuweze kuingia na kutoka vizuri
Inanyooka hivyo hivyo hadi chalinze au kuna sehemu itapinda?ndio
inanyokaInanyooka hivyo hivyo hadi chalinze au kuna sehemu itapinda?
Tabia za ukewenza hizi.Visebengo wa ufipa hata hili watakuja kupinga .
Hizi picha ni maeneo gani?
Hivi una akili wewe?Ahsante Magufuli hakika wewe ni zaidi ya maraika
Dah we jamaaAhsante Magufuli hakika wewe ni zaidi ya maraika


Nina kasite kangu hapo kibaha itakuwaje sasa jamani. Mungu wangu. Nilisikia inakunja.inanyoka
duuuuu pole sanaNina kasite kangu hapo kibaha itakuwaje sasa jamani. Mungu wangu. Nilisikia inakunja.
Sasahivi tu mabenk yapo hoi nafikir baada ya miaka 10 tutaongea luga mojauyu baba akikaa angalau miaka 10 madarakani Tanzania itafika mbali sana.
Umesahau kuweka kontakti chini ya Uzi wako.usijari kila jambo na wakati wake
Unamaanisha ndo basi tena?duuuuu pole sana
Basi nyumba nyingi zimekwisha.duuuuu pole sana
Hivi hii ndiyo tuliambiwa njia sita hadi Chalinze?
inanyoka
bora wapanue tu, tuweze kuingia na kutoka vizuri