Faana
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 42,451
- 50,183
Ile ya chalinze ni mradi mwingine hii ya sasa ni ubungo kibaha
Mbona kama ndivyo kufika kibaha tunakuwa kama tumerudi Kimara, mimi nilidhani inakwenda mpaka Mlandizi na kila njia inakuwa na speed yake ili kuhamasisha magari kupungua mjini kwa haraka
