Upanuzi Bole Airport vs JNIA (cost)

Tabutupu

JF-Expert Member
Nov 26, 2010
13,109
18,326
Ethiopia wamepanua uwanja wao kwa kujenga terminal mpya kwa gharama ya usd mil 363 sawa na Bil 750 za tz.

Terminal hiyo itaongeza uwezo kwa idadi ya abiria toka Mil 7 hadi Mil 22 ya uwanja huo sawa na ongezeko la abiria mil 15.

Hapa Tanzania terminal 3 imegharimu Bil 560 na uwezo wa uwanja umeongezeka kwa mil 6 tuu.

Najaribu kulinganisha naona kama Tanzania tumepigwa kama ubora wa kazi upo sawa.

BOLE Airport new terminal imejengwa na wachina wakati terminal 3 ya jnia imejengwa na wazungu..

Lakini bado naona tumepigwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vya kichina ni bei rahisi sikuzote lakini wakati mwingine vina walakini fulani hivi. Vya kizungu viko bei juu lakini uhakika wa ubora ni mkubwa zaidi. Nimejaribu kulinganisha ubora wa barabara ya Arusha Namanga na Ile ya Arusha moshi. Yaani ubora ni tofauti kabia. Ya kwenda Namanga ni ya mchina na matatizo yak yalianza kuonekana mapema kabisa. Ile ya kwenda Moshi ni ya Muitaliano na imedumu kwa muda mrefu kweli.
 
Unataka kusema flyover ya ubungo ni majanga?
Vya kichina ni bei rahisi sikuzote lakini wakati mwingine vina walakini fulani hivi. Vya kizungu viko bei juu lakini uhakika wa ubora ni mkubwa zaidi. Nimejaribu kulinganisha ubora wa barabara ya Arusha Namanga na Ile ya Arusha moshi. Yaani ubora ni tofauti kabia. Ya kwenda Namanga ni ya mchina na matatizo yak yalianza kuonekana mapema kabisa. Ile ya kwenda Moshi ni ya Muitaliano na imedumu kwa muda mrefu kweli.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unapotaka kufananisha hiv vitu kuna mambo mengi ya kuconsider
Miradi mikubwa kama hii kwa kawaida huwa inakuwa na Client, Consultant na Main Contractor.

Consultant ni mshauri wako mkuu anakushauri kwa kila kitu ila maamuzi ya mwisho yako kwako wewe mwny mradi.

Atakushauri kwny material,Atakushauri kwny mifumo ikiwemo umeme, fuel hydrant (kama ni mradi wa airport) Cooling system, Security Systems na n. k vitu vyote hivyo atakushauri kwa picha kubwa akikupa options pia faida na hasara ya kila option atakayokupa mwisho wa siku mwenye maamuzi ni wewe na mfuko wako.

Mfano. kwenye Tiles
Anaweza akakupa aina tatu za Tiles na makampuni yanayouza hizo Tiles.

Ya kwanza ni ya kampuni hii ya Italy,Tiles zake ni First Class hutaona mikwaruzo miaka na miaka na wanatoa warranty ya miaka 50 ila bei yake ni ya juu.

Ya pili ni kampuni hii ya Egypt Tile zake ni Second Class hutaona mikwaruzo kwa muda wa miaka kumi ila baada ya hapo chochote kinaweza tokea, warranty yao ni miaka kumi hiyo hiyo.

Na ya tatu ni kampuni hii ya Watani zetu ila hii baada ya miaka mitatu unaweza ukaanza kuona mikwaruzo ila bei zao zimepoa kweli na warranty ya miaka miwili.

Chaguo ni lako wewe mteja yeye amekushauri tu.Contractor yeye kazi yake ni kujenga utakachokipitisha

Ndivyo hivyo hivyo hata kwny mifumo
Mfano kwny mfumo wa fuel hydrant unaweza ukapewa options hata tano na kila mfumo ina gharama yake tofauti.

Kwa BOLE Airport new terminal sijajua ila kwa JNIA Terminal 3,kila kitu kilichochaguliwa kilikuwa ni first Class na mshauri wake ni NACO Egypt.
Wacheki jamaa...
Home - NACO Airport Consultancy and Engineering
 
Ethiopia wamepanua uwanja wao kwa kujenga terminal mpya kwa gharama ya usd mil 363 sawa na Bil 750 za tz.

Terminal hiyo itaongeza uwezo kwa idadi ya abiria toka Mil 7 hadi Mil 22 ya uwanja huo sawa na ongezeko la abiria mil 15.

Hapa Tanzania terminal 3 imegharimu Bil 560 na uwezo wa uwanja umeongezeka kwa mil 6 tuu.

Najaribu kulinganisha naona kama Tanzania tumepigwa kama ubora wa kazi upo sawa.

BOLE Airport new terminal imejengwa na wachina wakati terminal 3 ya jnia imejengwa na wazungu..

Lakini bado naona tumepigwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Tuondolee umbeya wako hapa.Waambie hao wazungu wakupe hicho kilichozidi kama unaona ni issue.
 
Unapotaka kufananisha hiv vitu kuna mambo mengi ya kuconsider
Miradi mikubwa kama hii kwa kawaida huwa inakuwa na Client, Consultant na Main Contractor.

Consultant ni mshauri wako mkuu anakushauri kwa kila kitu ila maamuzi ya mwisho yako kwako wewe mwny mradi.

Atakushauri kwny material,Atakushauri kwny mifumo ikiwemo umeme, fuel hydrant (kama ni mradi wa airport) Cooling system, Security Systems na n. k vitu vyote hivyo atakushauri kwa picha kubwa akikupa options pia faida na hasara ya kila option atakayokupa mwisho wa siku mwenye maamuzi ni wewe na mfuko wako.

Mfano. kwenye Tiles
Anaweza akakupa aina tatu za Tiles na makampuni yanayouza hizo Tiles.

Ya kwanza ni ya kampuni hii ya Italy,Tiles zake ni First Class hutaona mikwaruzo miaka na miaka na wanatoa warranty ya miaka 50 ila bei yake ni ya juu.

Ya pili ni kampuni hii ya Egypt Tile zake ni Second Class hutaona mikwaruzo kwa muda wa miaka kumi ila baada ya hapo chochote kinaweza tokea, warranty yao ni miaka kumi hiyo hiyo.

Na ya tatu ni kampuni hii ya Watani zetu ila hii baada ya miaka mitatu unaweza ukaanza kuona mikwaruzo ila bei zao zimepoa kweli na warranty ya miaka miwili.

Chaguo ni lako wewe mteja yeye amekushauri tu.Contractor yeye kazi yake ni kujenga utakachokipitisha

Ndivyo hivyo hivyo hata kwny mifumo
Mfano kwny mfumo wa fuel hydrant unaweza ukapewa options hata tano na kila mfumo ina gharama yake tofauti.

Kwa BOLE Airport new terminal sijajua ila kwa JNIA Terminal 3,kila kitu kilichochaguliwa kilikuwa ni first Class na mshauri wake ni NACO Egypt.
Wacheki jamaa...
Home - NACO Airport Consultancy and Engineering
Wote tusome hapa!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hao wazungu wako vizuri na very smart....ndo waliojenga lami nzuri Tanzania nzima ya Mafinga hadi iyovi mwishoni..

Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli kabisa ile lami ni the best. Kichekesho nenda barabara ya Iringa Dodoma iliyojengwa na wachina haina hata miaka miwili lakini imeanza kutiwa viraka kuanzia pale Airport kuelekea Dodoma hovyo kabisa na kambi la watia viraka lipo pale

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom