Upangaji wa vinjwaji

Upangaji wa vinjwaji

kuna watu wanakaaga kaunta kuanzia jumatatu hadi jumapili utafikiria vinywaji sijui wanatumia hela za urithi

mkuu kitalolo hujakose akabisa aise kuna watu utafikiri wana share na baa toka jumatatu mpaka jpili na mwanzo wa mwezi mpaka mwisho wa mwezi
 
Last edited by a moderator:
mkuu kitalolo hujakose akabisa aise kuna watu utafikiri wana share na baa toka jumatatu mpaka jpili na mwanzo wa mwezi mpaka mwisho wa mwezi


ila kwa uchumi huu wa sasahivi sio dili kabisa yaani ukishaona mataifa makubwa kama marekani wanalalamika kuwa hali ya uchumi ni mbay basi ujue kwao ikiwaka ta ya kijani huku kwetu tayari ni nyekundu mataifa ya ulaya mengine ilibidi yachangiwe hela kukabiliana na mdororo wa kiuchu sasa kujenga heshi bar jkihivyo faina uzeeni lazima ajute tu huyo mkuu Mr Rocky
 
Last edited by a moderator:
ila kwa uchumi huu wa sasahivi sio dili kabisa yaani ukishaona mataifa makubwa kama marekani wanalalamika kuwa hali ya uchumi ni mbay basi ujue kwao ikiwaka ta ya kijani huku kwetu tayari ni nyekundu mataifa ya ulaya mengine ilibidi yachangiwe hela kukabiliana na mdororo wa kiuchu sasa kujenga heshi bar jkihivyo faina uzeeni lazima ajute tu huyo mkuu Mr Rocky

mkuu kitalolo wewe ndo unajipa stress za sijui mdororo wa uchumi sijui nini
Kuna watu hawajui masuala hayo wao wakizichanga heshima inakuwa bar sio kufanya maendeleo
Wewe ndio unawaza sijui watoto wakasome sijui ukajenge kuna watu hawawazi hayo wao wakipata ni pombe na kitu ileee kwisha kazi hata kama anaishi nyumba ya kupanga chumba kimoja na watoto na mke
 
Last edited by a moderator:
mkuu kitalolo wewe ndo unajipa stress za sijui mdororo wa uchumi sijui nini
Kuna watu hawajui masuala hayo wao wakizichanga heshima inakuwa bar sio kufanya maendeleo
Wewe ndio unawaza sijui watoto wakasome sijui ukajenge kuna watu hawawazi hayo wao wakipata ni pombe na kitu ileee kwisha kazi hata kama anaishi nyumba ya kupanga chumba kimoja na watoto na mke

kweli lakini some times you have to maisha yenyewe ndio haya/

haya mkuu [MENTION][MENTION]Mr Rocky [/MENTION][/MENTION] acha mi niendelee na stress zangu juu ya maisha we uliza machalii wa mererani jinsi wanajuta lakini enzi zile mawe yalipokuwa yanatoka walikuwa wanajenga heshima bar hta maandiko yameandika kuna kipindi cha kukusanya na kuna kipindi cha kutawanya. we ukiona watu wa namna hiyo jua ni mafisadi yaani huwenda wanakula kodi zetu hawana uchungu nazo
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom