watakuwa wamempa kisamvu kama wanavyosema vijana labdaKanogewa nje mpaka katangaza ndoa.. Na mabinti wa kileo walivyo wachafu kama bata.. Nina hakika walimuonjesha mzee wa watu
😁😁😁 na mkopo wa OYA piaNdoa ni bet ya kindege.....😹
watakuwa wamempa kisamvu kama wanavyosema vijana labda
Ndoa ni bet ya kindege.....😹
Siyo tea bee see tenaatatoa tamko kesho kupitia @AyoTV_,……
Siku hiyo na mimi nilikuwepo nikabaki kuwashangaa mnavyoshangaana.Endelea kunifananisha mkuu....nishawahi kutana hata ninaefanana nae kabisa...tukabaki kushangaana
Weee,sema kweli 🤭 🤣🤣🤣Siku hiyo na mimi nilikuwepo nikabaki kuwashangaa mnavyoshangaana.