badian kinwiko
Member
- Dec 8, 2013
- 94
- 10
Haya jamani 2014 ndo hiyo. Timiza malengo yako ya upandaji miti ili uboreshe mazingira na ukuze uchumi wako na uchumi wa nchi kwa ujumla. Miche ya miti aina ya pain inapatikana kwa Badian kinwiko aliyeko wilayani Mufindi, Iringa, kwa bei ya sh.100@mche. Kwa wakazi wa Mufindi na maeneo jirani mnakaribishwa. Kama una swali tupia hapahapa au email hii badiankinwiko@gmail.com