Uozo wa CHADEMA Hadharani


Ufisadi wa viongozi wa Chadema ukianikwa unasema huko ni kuchafua upinzani?

Ukweli lazima usemwe siku zote.

Chadema wanachelewa kujivua gamba...na kodi yetu mrudishe haraka.
 
wangeandika CCM wizi basi wote mgelisifia hilo gazeti. Slaa ajitokeze na kukanusha hizo shutuma.
 
TRA hawezi kumjua kila anayekwepa kulipa kodi.
Ni jukumu letu Watz kuwaumbua watu hawa kama alivyofanya Nape.
Sasa TRA wamejjua na watachukua hatua.
Wakwepa kodi, mafisadi, wezi wa mali za umma, wahujumu uchumi, etc etc washtakiwe na wapelekwe mahakamani kujibu mashtaka. Hii ni kuanzia mafisadi wa EPA, Richmond, Kagoda, Meremeta, IPTL, etc etc....
 
Hili linatakiwa likuhuzunishe hata wewe.
Wanaokwepa kulipa kodi ni maadui wakubwa wa nchi.
Washughulikiwe ili liwe fundisho.

Chama cha mayenu,hii ndio song yenu mpya mmezindua?malizieni ya magamba kwanza ndio muanze na hii mpya.
 
Jamani huyu ni Nape yule yule mropokaji tuliyemzoea, ni yule yule anayekaa meza kuu UVCCM na kutoa matamko yaliyokuwa na maana dhidi ya chama chake..ni yule yule aliyekuwa mstari wa mbele kuanzisha CCJ. Leo amekuja na hii ya CDM na kodi. Ni jambo ambalo si rahisi kuamini kwamba chama kinaaingiza nchini vyombo kwa ajili ya uchaguzi kwa gharama ya mil.288 bila TRA kujua. Kinachoshangaza zaidi hata huko Holili TRA wapo. Suala la TRA kukosa risiti hiyo ni juu yao kuweka kumbukumbu na si CDM. Sheria ya gharama za uchaguzi ziko wazi iweje zisifuatwe kama ni kweli. PCCB wako wapi muda wote huo wasifanye uchunguzi..? Hoja nyingine zinatia karaha sana kutokufanyiwa uchunguzi kabla ya kusemwa hadharani. Ndo mambo ya magazeti ya ushenzj haya
 
hongera kaka nape kwa kumwumbua mnafiki daktari wa wakatoliki slaa.

ccm imepata msemaji wa chama mwenye data. uwiiiiiiiiiiiiiiiii watu watakimbia tra kulipa
 
jumla ya hasara ya ufisadi mnaosema chadema wameufanya katika hiyo mipasho ya nape haijafika hata milioni 500, haya atuambie ccm imeshaleta hasara kiasi gani toka ilivyoanza kutawala hadi leo, meremeta, tangold, kagoda, iptl, kiwira, richmond, dowans, madini, ndege, rada, misamaha ya kodi, epa, endeleeni kutaja....
 
^500 milion kwa muda wa miezi tena chama bado hakina uwezo, je wakipewa ufunguo wa benki kuu? Si itakua balaa
 
wangeandika CCM wizi basi wote mgelisifia hilo gazeti. Slaa ajitokeze na kukanusha hizo shutuma.
Akanushe mara ya ngapi? Slaa haongei na mtu kama Nape. Kama mngekuwa wakweli mngeweka na evidence za hayo mnayosema mfanno salary slip au bank statements. Sasa CCM inaelekea kuwa chama cha upinznai kwanini TRA wasichukue hatua mapema?
 

Upupuuuu!!!
 
SASA hizi kashfa wanazozitoa chama cha magamba ndio zitawafanya wafe kabisa. Nasubiri kwa hamu nishuhudie hicho kifo.
 
watachoka tu,wanadhani wakieleza mabaya ya chadema hata kama
ni kweli watanzania ndo wataona kuwa "bora ccm"?

Damn
 
TRA hawezi kumjua kila anayekwepa kulipa kodi.
Ni jukumu letu Watz kuwaumbua watu hawa kama alivyofanya Nape.
Sasa TRA wamejjua na watachukua hatua.

hv huo mshahara mpya wa dk kaanza kulipwa lin? Au anazungumzia mshahara upi?, kod ip anazungumzia?,. CDM ni chama kinachotambulika kisheria hv TRA walikua wap kujua kua mshahara wa ktb mkuu haukatwi kodi?, je ni ktb mkuu pekee halipi kod au kuna wengne?.
 
TRA hawezi kumjua kila anayekwepa kulipa kodi.
Ni jukumu letu Watz kuwaumbua watu hawa kama alivyofanya Nape.
Sasa TRA wamejjua na watachukua hatua.

hv huo mshahara mpya wa dk kaanza kulipwa lin? Au anazungumzia mshahara upi?, kod ip anazungumzia?,. CDM ni chama kinachotambulika kisheria hv TRA walikua wap kujua kua mshahara wa ktb mkuu haukatwi kodi?, je ni ktb mkuu pekee halipi kod au kuna wengne?.
 
This is what we call politics of desperation. CCM wameishiwa, wanabaki kujivua magamba na kusahau kuwa ukianza kumrushia mwenzako tope unabaki nazo mikononi na nguoni mwako.
 
Nakumbuka kuna wakati nilikuwa naenda Nairobi nikawa na gazeti la Mzalendo, Makarao wakaniuliza na wewe ni mukora! Nikauliza WHY wkanambia mbona unajifunika na karatasi kubwa hivyo? MZALENDO gazeti litumiwalo na wakora kujificha maovu yao!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…