Uozo udom wanikunisha kichwa.

Uozo udom wanikunisha kichwa.

adiemason

New Member
Joined
Mar 16, 2011
Posts
1
Reaction score
0
Kama ilivyo kawaida yao, wao husema ni siasa au tumetumwa na vyama vya siasa.Ni kama miezi miwili tangu chuo cha elimu, chuo kikuu cha dodoma kifanye mgomo juu ya madai yao ya msingi kama:
1.Mazidi ya pesa za ada
2.Mazidi ya pesa za accomodatiom
3.Kucheleweshwa kwa mikopo kutoka HESLB
4.Mfumo wa ufundishaji
Haya ni mambo makuu manne makubwa yaliyopelekea msafara wa Waziri mkuu wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania kutekwa na Mkuu wa wilaya ya dodoma kuwekwa kizuizini kwa muda wa masaa manne. Tarehe 25/2/2011 uongozi wa chuo ulipokaa councel hawakujadili hata moja kati ya hayo zaidi ya kuazimia wanachuo wasifanye siasa katika mambo 11 waliyoafikiana. Hivi wana UDOM pamoja na wadau wa elimu, nikweli kwamba kudai haki ya msingi ni kufanya siasa?Kwani siasa ni nini?
 
vyuo vya kata kwa wana kata huko huko..halafu hili sio jukwaa la hayo mambo au ni jokes,udaku,gossips?
 
Kama ilivyo kawaida yao, wao husema ni siasa au tumetumwa na vyama vya siasa.Ni kama miezi miwili tangu chuo cha elimu, chuo kikuu cha dodoma kifanye mgomo juu ya madai yao ya msingi kama:
1.Mazidi ya pesa za ada
2.Mazidi ya pesa za accomodatiom
3.Kucheleweshwa kwa mikopo kutoka HESLB
4.Mfumo wa ufundishaji
Haya ni mambo makuu manne makubwa yaliyopelekea msafara wa Waziri mkuu wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania kutekwa na Mkuu wa wilaya ya dodoma kuwekwa kizuizini kwa muda wa masaa manne. Tarehe 25/2/2011 uongozi wa chuo ulipokaa councel hawakujadili hata moja kati ya hayo zaidi ya kuazimia wanachuo wasifanye siasa katika mambo 11 waliyoafikiana. Hivi wana UDOM pamoja na wadau wa elimu, nikweli kwamba kudai haki ya msingi ni kufanya siasa?Kwani siasa ni nini?

Hoja zako niza msingi sana ila umekosea forum.
 
Kama ilivyo kawaida yao, wao husema ni siasa au tumetumwa na vyama vya siasa.Ni kama miezi miwili tangu chuo cha elimu, chuo kikuu cha dodoma kifanye mgomo juu ya madai yao ya msingi kama:
1.Mazidi ya pesa za ada
2.Mazidi ya pesa za accomodatiom
3.Kucheleweshwa kwa mikopo kutoka HESLB
4.Mfumo wa ufundishaji
Haya ni mambo makuu manne makubwa yaliyopelekea msafara wa Waziri mkuu wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania kutekwa na Mkuu wa wilaya ya dodoma kuwekwa kizuizini kwa muda wa masaa manne. Tarehe 25/2/2011 uongozi wa chuo ulipokaa councel hawakujadili hata moja kati ya hayo zaidi ya kuazimia wanachuo wasifanye siasa katika mambo 11 waliyoafikiana. Hivi wana UDOM pamoja na wadau wa elimu, nikweli kwamba kudai haki ya msingi ni kufanya siasa?Kwani siasa ni nini?

mkuu geuza njia 2 hapa si mahala pake
 
jiongeze kwingine tu ndugu yangu. huko hakutakuja kutulia mpaka huyo mzee short aondoke.
 
Back
Top Bottom