Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 2,208
- 4,705
Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassani leo alikuwa mgeni rasmi kwenye Uzinduzi wa Kitabu cha Maisha ya Rais Mstaafu Mzee Ally Hassani Mwinyi
Viongozi Wakuu waliohudhuria ni Waziri Mkuu, Spika wa Bunge, Jaji Mkuu, Mawaziri & Wabunge mbalimbali, Wakuu wa Vyombo vya Ulinzi na Usalama & Mabalozi & Marais & Mawaziri Wakuu wastaafu n.k
Ieleweke kuwa tukio hilo la Kitaifa halikuja ghafla bali lilipangwa kitambo hivyo mechi ya watani ilitakiwa ipangwe siku tofauti na wala sio leo.
Uongozi wa Wizara, RC Dar es salaam & TFF tambueni matukio yanayomuhusisha Rais wa nchi ni matukio rasmi ya Kitaifa na yanawahusu moja kwa moja Wananchi wote
Uongozi wa Wizara ya Michezo, RC Dar es Salaam & TFF mmeonyesha dharau kwa kupanga mechi ya Simba & Yanga Watani sambamba na Uzinduzi wa kitabu cha Mzee Rhuksa!
Niwaombe wahusika wote kwa kuwa mmefanya mambo ya hovyo basi itapendeza mkijitengua wenyewe.
Viongozi Wakuu waliohudhuria ni Waziri Mkuu, Spika wa Bunge, Jaji Mkuu, Mawaziri & Wabunge mbalimbali, Wakuu wa Vyombo vya Ulinzi na Usalama & Mabalozi & Marais & Mawaziri Wakuu wastaafu n.k
Ieleweke kuwa tukio hilo la Kitaifa halikuja ghafla bali lilipangwa kitambo hivyo mechi ya watani ilitakiwa ipangwe siku tofauti na wala sio leo.
Uongozi wa Wizara, RC Dar es salaam & TFF tambueni matukio yanayomuhusisha Rais wa nchi ni matukio rasmi ya Kitaifa na yanawahusu moja kwa moja Wananchi wote
Uongozi wa Wizara ya Michezo, RC Dar es Salaam & TFF mmeonyesha dharau kwa kupanga mechi ya Simba & Yanga Watani sambamba na Uzinduzi wa kitabu cha Mzee Rhuksa!
Niwaombe wahusika wote kwa kuwa mmefanya mambo ya hovyo basi itapendeza mkijitengua wenyewe.