Uongozi wa Simba: Mmechafuliwa Kenya na Zambia chukueni hatua

Yang wanafanya misinformation za kufa MTU tangu mwaka juzi iliwachanganya hadi as vita,platinum wamekuwa wastaarabu wamepongeza simba kwenye website yao ingawa walirukia madirishani
Waliwaambia AS Vita kwamba Simba inapuliza dawa vyumba vya uwanjani hadi wakavalia jezi nje ya vyumba na wakafungwa vilevile.
Hawa jamaa badala ya kucheza mpira ili wafike hapo walipofika Namungo, wanaishia kufanya propaganda chafu dhidi ya Simba.

Mechi zote nne ambazo zimeifanya Simba kufuzu makundi ya Club Bingwa Afrika zimechezwa wazi kabisa.
Hadi wale Plateu ya Nigeria baada ya mpira walikumbatiana na wachezaji wa Simba na Wakasali kwa upendo kabisa kumaanisha wamecheza katika mahusiano mazuri.
Yanga kazi yao ni kuwapokea Uwanja wandege wapinzani wa Simba, kupiga domo tu basi.
Mpira umewashinda.
 
Wewe utaendelea kuumiza roho yako lakini CAF tangu zamani kabla ya Covd19 inajua Simba ni moja ya timu kubwa kabisa barani Africa, kupiga mtu goli 4 ni kitu cha kawaida, hata Yanga wanatambua
Haya tusubiri tuone...ila Kuna kitu kinakuja...I smell a rat...wajanja siyo Simba peke yao...Don't forget that...something is cooking...tusubiri tuone...malalamiko yamekuwa mengi mno...
 
Haya tusubiri tuone...ila Kuna kitu kinakuja...I smell a rat...wajanja siyo Simba peke yao...Don't forget that...something is cooking...tusubiri tuone...malalamiko yamekuwa mengi mno...
Mzee weka facts malalamiko yamewasilishwa wapi au vijiwe vya kahawa vya karume?
 
Fedha za MO ndizo zinazo ibeba Simba kuanzia kuhonga Marefa, ku fake vipimo vya covid kwa timu pinzani, kutumia waganga wa mapaka ndio maana coach anaoekana anakula fedha za bure wamemtimua, Kwasasa Babra Ana andaliwa kuchukua mikoba ya kocha.
Kwann na nyie msihonge hao marefa? Daah since 1998. AIBU KUBWA

Sent from my SM-N910F using JamiiForums mobile app
 
Wewe utaendelea kuumiza roho yako lakini CAF tangu zamani kabla ya Covd19 inajua Simba ni moja ya timu kubwa kabisa barani Africa, kupiga mtu goli 4 ni kitu cha kawaida, hata Yanga wanatambua
Yanga wenyewe tulishawafunga goli nne
 
Kabla ya Covd19 watu walishachezea vichapo kwa Mkapa, na CAF inajua hilo. Itapuuzwa na itapita. Kama ni blog, mtu yeyote anaweza akawa nayo na akaandika chochote, hasa kama hawana mamlaka zinazowabana wamiliki na waandishi kama huku kwetu
Tatizo lenu mliamini Simba atatolewa, sasa imekuwa kinyume chake ndio.hamuishi kuhangaika.

Kama una ushahidi wa rushwa peleka CAF au TAKUKURU, kama hamna wacheni kelele zenu na mwenzio Kitenge.
 
Jamani sven kasema lini kwenye interview haya maneno? Nimeamini utopolo wako vizuri kwenye propaganda ila uongozi wa sasa kama mazezeta hivi ..Chukueni hatua kwa huyu blogger haraka sana

First ilkuw a page ya kikenya inaitwa african sports today wao walisema tu remarks zake hazikuupendeza uongozi ghafla dakika chache zilizopita huyu mwandishi namba moja wa michezo huko zambia anaitwa bwezani kaandika hii report...Kama mkiaa kimya ni juu yenu bwana


Bwezani With Zambian Football

50m ·

SVEN AND THE SIMBA STORIES
Former Zambia National Team Coach Sven Vandenbroeck has exposed Simba SC badly in a storm of spiteful spats with employers, that could have led to him being fired from the job.

The young Belgian coach has had some bitter words towards the Simba SC management accusing them of underhand dealing in their quest to win matches.

The popular and moneyed Tanzanian side are a two days away from smarting Zimbabwean champions FC Platinum via 4nil drubbing and qualifying to the next round on 4-1 aggregate.

It is of note, the Zimbabwean champions played that match under protest. As the claim unfair treatment regarding the Covid-19 testing of their entourage. Zimbabwean media and that of social media is awash with reports that the Covid-19 testing targeted star players from Zimbabwean side so as to get them out of play.

And unfortunately, the timing for Plasto as the Zimbabwean champions are affectionately called by their fans in Zvishavane town in the midlands province of Zimbabwe, had only two hours before the match to seek a second opinion regarding the tests. Worse, they were told Dar es laam has only got one testing centre. Which was overwhelmed.

CAF has to watch this as it happening under their watch. Reports say Nigeria side encountered a similar situation but the outsmarted their hosts. Seemingly, they had inside details of the shenanigans in Tanzania.

These accusations as they might appear seems to getting traction and it will important for CAF to get to the bottom of it. This abuse of the deadly pandemic as route to success is both unsportsmanlike and barbaric at best. Issuing some fake medical results is traumatizing nature.

But Sven had this spat to add impetus to the protest FC Platinum are on, “We could do without this noise about tampering with Covid-19 results of opponents. It is so unnecessary and taints the name of this very big club because these players work so hard to perform.

“As Simba SC we are good enough to win games without using COVID-19. The public outcry about this, makes even the wins very hollow. That is not the spirit of FIFA fair play. We surely can do better and as a club let us work to improve our football,” he told the Simba hierarchy, just moments after the embarrassing 4-0 win over a very frustrated FC Platinum on Wednesday.

This could have the led to him being shown the door
The response the Simba Chiefs was as arrogant as they come: “We know what we are doing and we are aware who won us qualification to group stages. It was certainly not you or your efforts, so stop telling us Yanga (Young Africans) stories here.

“We are Simba (lion). We hunt to kill and prey and we have the money to do all our projects”. These words are being attributed to iron lady at Simba SC, theCEO Barbra Gonzalez.

We await to see the reaction of CAF in the spate of these accusations that fly high in the face football and can easily spoil the name of the game.

Asante Kotoko of Ghana had similar complaints in Sudan regarding Covid-19 testing issues. And the Ghanaian giants simply packed their bags and left with kicking the ball.
Wao wanahangaika na Maulid Kitenge
 
Wao wanahangaika na Maulid Kitenge
fc platinum.png
 

Attachments

  • sven insta.png
    sven insta.png
    155 KB · Views: 1
  • sven rabat.png
    sven rabat.png
    98.6 KB · Views: 1
Caf ni wala rushwa kamishna wao wa mchezo akihongwa ndo basi tena hakuna oa kulalamika. Kama rais wa Caf kala rushwa, hawa kina Karia wafanyeje
Kwa hiyo yale malalamiko yenu juu ya Morrison CAF walikula rushwa siyo?
 
Haya tusubiri tuone...ila Kuna kitu kinakuja...I smell a rat...wajanja siyo Simba peke yao...Don't forget that...something is cooking...tusubiri tuone...malalamiko yamekuwa mengi mno...
Usubiri nini tena wakati CAF imeshaipangia Simba kundi? Mnaumia roho bure wakati Platnum wenyewe wameipongeza Simba na kuitakia heri
 
Haya tusubiri tuone...ila Kuna kitu kinakuja...I smell a rat...wajanja siyo Simba peke yao...Don't forget that...something is cooking...tusubiri tuone...malalamiko yamekuwa mengi mno...
Tusubiri tuone nini wewe,Na kiingereza chako cha Nigeria hicho.
 
Mmojawapo ya wanaoichafua Simba ni Maulid Kitenge, na ametengewa fungu kubwa na hao wafadhili wake kwa kazi hii.
 
Back
Top Bottom