Obi
JF-Expert Member
- Jul 6, 2009
- 374
- 79
Sio kwamba Nyerere aliongoza nchi bila katiba ya wananchi. La hasha bali kama unakumbuka wakati nchi inapata uhuru ilikuwa ni vigumu kuandaa mchakato wa katiba ambayo ingefaa kwa wakati ule. Na kama unakumbuka katiba ile ilifanyiwa marekisho kadhaa kuendana na wakati na nini wananchi walikuwa wanahitaji.
Sasa kiongozi bora anatawala bila ya katiba ya wananchi????????????