Uongozi ni nini?

Uongozi ni nini?

Chakula Cha kiongozi
IMG-20231118-WA0008.jpg
 
Uongozi unaweza usigombanie na ukawa kiongozi...

Uongozi unatoka kwa Mungu...
 
Huku kwangu imegoma kufunguka. Huyu dogo Maxence Melo sijui anafel wapi aisee ....

Anatakiwa aifanye hii app iwe ya kisasa sana. Huyu jamaa daah ,...mambo yake ya taratibu sana!
Tusimlaumu bali tumpongeze na kumpa maua yake... Kuendesha platform kama hii kwa mafanikio Matunda sio jambo jepesi hata kidogo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uongozi unaweza usigombanie na ukawa kiongozi...

Uongozi unatoka kwa Mungu...
Cause yeye ndiye hutufanya tu move , tuishi na tuwe na makazi/vitu.

Nakubaliana na wewe. Kama yeye akitaka uwe kwenye hicho KITI, hakuna wa kupinga.

Maana kukipata hicho KITI , unaweza :-

1. Kupigiwa kura na ukachaguliwa
2. Katiba ikakubeba ( Mfano Mama Samia )
3. Coup d'etat
4. Kulazimishwa ukikalie
 
Tusimlaumu bali tumpongeze na kumpa maua yake... Kuendesha platform kama hii kwa mafanikio Matunda sio jambo jepesi hata kidogo

Sent using Jamii Forums mobile app
Au sio!

Lakini anatakiwa akaze. Asikae kizembe. Mimi bado sijaridhika na namna inavyoonekana. Haina Updates za kutosha.

Ilitakiwa kila mwezi , aongeze kionjo kama zifanyavyo apps zingine kama WhatsApp, Twitter.,..you know warramsaying?
 
Brother trust me.. Anafanya the best

Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi naona kama anatumia akili zake kidogo sana kwakua labda yupo Bongo.

Kiufupi, namfahamu jamaa vyema... Yuko poa sana kichwani...bingwa kabisa ....mwamba.......sijui amekuaje siku hizi.

Hii App ilitakiwa iwe mbali sana. Huu sio UWEZO wake ninaoujua Mimi. This nigga Maxence Melo is a GOAT. Sa sijui kalidhika na nini .....
 
Chakula Cha kiongozi Bora #Broiledfish #Bread
Screenshot_2023-11-18-15-40-38-51_965bbf4d18d205f782c6b8409c5773a4.jpg
 
Mimi naona kama anatumia akili zake kidogo sana kwakua labda yupo Bongo.

Kiufupi, namfahamu jamaa vyema... Yuko poa sana kichwani...bingwa kabisa ....mwamba.......sijui amekuaje siku hizi.

Hii App ilitakiwa iwe mbali sana. Huu sio UWEZO wake ninaoujua Mimi. This nigga Maxence Melo is a GOAT. Sa sijui kalidhika na nini .....
Maisha ya bongo wote tunayajua.. Hasa ukionekana una kitu tofauti na cha ziada kuwazidi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom