Uongozi ni kipaji siyo vyeti hata Dr Slaa hana degree!

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
82,754
139,562
Prof Lipumba amekiri mara kadhaa kwamba aliridhia Dr Slaa awe mgombea urais kupitia Ukawa.Kielimu Prof amemuacha mbali sana Slaa lakini kiuongozi ni kinyume chake.Tuna mifano mingi ya watu waliojaliwa vipawa vya uongozi bila kujali elimu walizopitia.Mtu mwenye talanta ya uongozi huwa ni mwenye kuthubutu na wakati wote hujiamini ktk yale ayatendayo, ukiwaangalia kwa umakini Lipumba na Slaa utanielewa.Lakini pia yupo RC wa Dar es salaam aliyejaaliwa talanta hii ya uongozi, yeye husema na kutenda.Tuliaminishwa huko nyuma kwamba kuna baadhi ya mafisadi na wauza ngada wakiguswa tu au kutajwa nchi itatikisika lakini Makonda amewagusa na kuwataja na nchi iko shwari.Hakika tusome kwa ajili ya kuwa matabibu, wachumi, wahasibu nk lakini ili tuwe viongozi tunapaswa kuwa na hofu ya Mungu na kumuomba na kumtukuza yeye kila siku.
 
Prof Lipumba amekiri mara kadhaa kwamba aliridhia Dr Slaa awe mgombea urais kupitia Ukawa.Kielimu Prof amemuacha mbali sana Slaa lakini kiuongozi ni kinyume chake.Tuna mifano mingi ya watu waliojaliwa vipawa vya uongozi bila kujali elimu walizopitia.Mtu mwenye talanta ya uongozi huwa ni mwenye kuthubutu na wakati wote hujiamini ktk yale ayatendayo, ukiwaangalia kwa umakini Lipumba na Slaa utanielewa.Lakini pia yupo RC wa Dar es salaam aliyejaaliwa talanta hii ya uongozi, yeye husema na kutenda.Tuliaminishwa huko nyuma kwamba kuna baadhi ya mafisadi na wauza ngada wakiguswa tu au kutajwa nchi itatikisika lakini Makonda amewagusa na kuwataja na nchi iko shwari.Hakika tusome kwa ajili ya kuwa matabibu, wachumi, wahasibu nk lakini ili tuwe viongozi tunapaswa kuwa na hofu ya Mungu na kumuomba na kumtukuza yeye kila siku.
Mpuuzi kabisa wewe..

Akili zako hazikutoshi..

Wee ni first class ngumbaru!

Mtu ana prefix ya cheo Dr anakuwaje hana degree??

For your information Dr Slaa ana Phd.

Eti Daudi Bashite ana talanta..!! Damn..!!

Huyu ni Mwizi wa Cheti na Mhalifu wa Taaluma.

Bora viroba vilivyopigwa marufuku.. Athari zake zilikuwa kubwa sana.
 
Watanzania ni manyumbu Mno!! Akili yako ina kutosha wewe mwenyewe na nadhani hata wewe mwenyewe nina wasiwasi haikutoshi!! Dr slaa kaachwa mbali sana na Prof Lipumba? Unasema dr slaa hana degree? Hivi nyie watu mnatoka wapi? Kwa akili hizi tutaendelea kuteseka sana, anakuwaje dr bila degree? Hata ingekuwa ni medical si lazima angekuwa nayo moja basi! Pumbavu wewe!!! Wote ni PhD holder Lipumba kamzidi na cheo cha prof tu ambacho ungekuwa na akili ningekufafanulia maana yake lakini kwa sababu umeshaonyesha unyumbu hata huwezi kuelewa!!! Tuje kwa huyo mwizi wa cheti ambaye ndio amesababisha hadi ukamdharau dr slaa! Ana karama gani ya uongozi? Kudhalilisha watu? Kutukana watu? Kuwa na majivuno? Kutokujua vipaumbele au majukumu yake na mipaka yake? Kuamka kila siku na mipango mipya isyotekelezeka? Makonda ni mzuri labda kwenye kujipendekeza au kuwa Messenger tu hawezi kuwa kiongozi mzuri!! Kwa watu wenye akili yenye matege kama wewe na akili fupi kama wewe ndio huwezi kuelewa chochote kwa sababu akili imedumaa kuanzia ukiwa huko misungwi
Mimi hata sielewi ni kitu gani anafanya huyu mkuu wa mkoa mpaka kuna watu wanamwabudu na kutaka kutuaminisha etui ni mchapakazi. Yaani kuita media, kufokea watu hadharani na kukamata watu ndio dalili ya uchapakazi? Hiyo ni dalili ya uhuni tu na kukosa kujiamini kunakotokana na kuwa incompetent.
 
Watanzania ni manyumbu Mno!! Akili yako ina kutosha wewe mwenyewe na nadhani hata wewe mwenyewe nina wasiwasi haikutoshi!! Dr slaa kaachwa mbali sana na Prof Lipumba? Unasema dr slaa hana degree? Hivi nyie watu mnatoka wapi? Kwa akili hizi tutaendelea kuteseka sana, anakuwaje dr bila degree? Hata ingekuwa ni medical si lazima angekuwa nayo moja basi! Pumbavu wewe!!! Wote ni PhD holder Lipumba kamzidi na cheo cha prof tu ambacho ungekuwa na akili ningekufafanulia maana yake lakini kwa sababu umeshaonyesha unyumbu hata huwezi kuelewa!!! Tuje kwa huyo mwizi wa cheti ambaye ndio amesababisha hadi ukamdharau dr slaa! Ana karama gani ya uongozi? Kudhalilisha watu? Kutukana watu? Kuwa na majivuno? Kutokujua vipaumbele au majukumu yake na mipaka yake? Kuamka kila siku na mipango mipya isyotekelezeka? Makonda ni mzuri labda kwenye kujipendekeza au kuwa Messenger tu hawezi kuwa kiongozi mzuri!! Kwa watu wenye akili yenye matege kama wewe na akili fupi kama wewe ndio huwezi kuelewa chochote kwa sababu akili imedumaa kuanzia ukiwa huko misungwi
Mimi hata sielewi ni kitu gani anafanya huyu mkuu wa mkoa mpaka kuna watu wanamwabudu na kutaka kutuaminisha etui ni mchapakazi. Yaani kuita media, kufokea watu hadharani na kukamata watu ndio dalili ya uchapakazi? Hiyo ni dalili ya uhuni tu na kukosa kujiamini kunakotokana na kuwa incompetent.
 
Prof Lipumba amekiri mara kadhaa kwamba aliridhia Dr Slaa awe mgombea urais kupitia Ukawa.Kielimu Prof amemuacha mbali sana Slaa lakini kiuongozi ni kinyume chake.Tuna mifano mingi ya watu waliojaliwa vipawa vya uongozi bila kujali elimu walizopitia.Mtu mwenye talanta ya uongozi huwa ni mwenye kuthubutu na wakati wote hujiamini ktk yale ayatendayo, ukiwaangalia kwa umakini Lipumba na Slaa utanielewa.Lakini pia yupo RC wa Dar es salaam aliyejaaliwa talanta hii ya uongozi, yeye husema na kutenda.Tuliaminishwa huko nyuma kwamba kuna baadhi ya mafisadi na wauza ngada wakiguswa tu au kutajwa nchi itatikisika lakini Makonda amewagusa na kuwataja na nchi iko shwari.Hakika tusome kwa ajili ya kuwa matabibu, wachumi, wahasibu nk lakini ili tuwe viongozi tunapaswa kuwa na hofu ya Mungu na kumuomba na kumtukuza yeye kila siku.
acheni upumbavu ninyi, hapa hatuongelei kuwa na vyeti, tunaongelea forgery, uttering of false documents na personation. kuna watu wameshafungwa wako jela hivi tunavyoongea, kwa makosa aliyoyafanya bashite, sasa kwanini yeye asifungwe? au sheria ni kwa walalahoi tu wakuu wa mikoa au wale ambao wapo karibu na kiongozi mkuu hawatakiwi kuwajibishwa na sheria? tatizo lenu nii umbumbumbu.ndo maana mlipata zero.
 
Prof Lipumba amekiri mara kadhaa kwamba aliridhia Dr Slaa awe mgombea urais kupitia Ukawa.Kielimu Prof amemuacha mbali sana Slaa lakini kiuongozi ni kinyume chake.Tuna mifano mingi ya watu waliojaliwa vipawa vya uongozi bila kujali elimu walizopitia.Mtu mwenye talanta ya uongozi huwa ni mwenye kuthubutu na wakati wote hujiamini ktk yale ayatendayo, ukiwaangalia kwa umakini Lipumba na Slaa utanielewa.Lakini pia yupo RC wa Dar es salaam aliyejaaliwa talanta hii ya uongozi, yeye husema na kutenda.Tuliaminishwa huko nyuma kwamba kuna baadhi ya mafisadi na wauza ngada wakiguswa tu au kutajwa nchi itatikisika lakini Makonda amewagusa na kuwataja na nchi iko shwari.Hakika tusome kwa ajili ya kuwa matabibu, wachumi, wahasibu nk lakini ili tuwe viongozi tunapaswa kuwa na hofu ya Mungu na kumuomba na kumtukuza yeye kila siku.
Weka vyeti hapa kama huna huna kazi.huo ndio utaratibu dunia yote.na ndio mana mtu yeyote akiwa anatafuta kazi anaonesha vyeki vyake. Na ndio maana pia Magufuli alitimua watu wenye vyeti feki na wasio na vyeti.

Sasa msumeno tumeanza kuutumia upande wa pili we unasema sivyo tena.we bwege nn
 
Prof Lipumba amekiri mara kadhaa kwamba aliridhia Dr Slaa awe mgombea urais kupitia Ukawa.Kielimu Prof amemuacha mbali sana Slaa lakini kiuongozi ni kinyume chake.Tuna mifano mingi ya watu waliojaliwa vipawa vya uongozi bila kujali elimu walizopitia.Mtu mwenye talanta ya uongozi huwa ni mwenye kuthubutu na wakati wote hujiamini ktk yale ayatendayo, ukiwaangalia kwa umakini Lipumba na Slaa utanielewa.Lakini pia yupo RC wa Dar es salaam aliyejaaliwa talanta hii ya uongozi, yeye husema na kutenda.Tuliaminishwa huko nyuma kwamba kuna baadhi ya mafisadi na wauza ngada wakiguswa tu au kutajwa nchi itatikisika lakini Makonda amewagusa na kuwataja na nchi iko shwari.Hakika tusome kwa ajili ya kuwa matabibu, wachumi, wahasibu nk lakini ili tuwe viongozi tunapaswa kuwa na hofu ya Mungu na kumuomba na kumtukuza yeye kila siku.


Ukiniambia ati Makonda ana talanta labda talanta ya kutukana watu,kujiona na kujilimbikizia mali.Kamwe hawezi kufanana na Dr.Slaa
 
Prof Lipumba amekiri mara kadhaa kwamba aliridhia Dr Slaa awe mgombea urais kupitia Ukawa.Kielimu Prof amemuacha mbali sana Slaa lakini kiuongozi ni kinyume chake.Tuna mifano mingi ya watu waliojaliwa vipawa vya uongozi bila kujali elimu walizopitia.Mtu mwenye talanta ya uongozi huwa ni mwenye kuthubutu na wakati wote hujiamini ktk yale ayatendayo, ukiwaangalia kwa umakini Lipumba na Slaa utanielewa.Lakini pia yupo RC wa Dar es salaam aliyejaaliwa talanta hii ya uongozi, yeye husema na kutenda.Tuliaminishwa huko nyuma kwamba kuna baadhi ya mafisadi na wauza ngada wakiguswa tu au kutajwa nchi itatikisika lakini Makonda amewagusa na kuwataja na nchi iko shwari.Hakika tusome kwa ajili ya kuwa matabibu, wachumi, wahasibu nk lakini ili tuwe viongozi tunapaswa kuwa na hofu ya Mungu na kumuomba na kumtukuza yeye kila siku.
TUNAHITAJI VYETI TUUU
 
Watanzania ni manyumbu Mno!! Akili yako ina kutosha wewe mwenyewe na nadhani hata wewe mwenyewe nina wasiwasi haikutoshi!! Dr slaa kaachwa mbali sana na Prof Lipumba? Unasema dr slaa hana degree? Hivi nyie watu mnatoka wapi? Kwa akili hizi tutaendelea kuteseka sana, anakuwaje dr bila degree? Hata ingekuwa ni medical si lazima angekuwa nayo moja basi! Pumbavu wewe!!! Wote ni PhD holder Lipumba kamzidi na cheo cha prof tu ambacho ungekuwa na akili ningekufafanulia maana yake lakini kwa sababu umeshaonyesha unyumbu hata huwezi kuelewa!!! Tuje kwa huyo mwizi wa cheti ambaye ndio amesababisha hadi ukamdharau dr slaa! Ana karama gani ya uongozi? Kudhalilisha watu? Kutukana watu? Kuwa na majivuno? Kutokujua vipaumbele au majukumu yake na mipaka yake? Kuamka kila siku na mipango mipya isyotekelezeka? Makonda ni mzuri labda kwenye kujipendekeza au kuwa Messenger tu hawezi kuwa kiongozi mzuri!! Kwa watu wenye akili yenye matege kama wewe na akili fupi kama wewe ndio huwezi kuelewa chochote kwa sababu akili imedumaa kuanzia ukiwa huko misungwi
Asante sana mkuu amepata alichostahili
 
Mpuuzi kabisa wewe..

Akili zako hazikutoshi..

Wee ni first class ngumbaru!

Mtu ana prefix ya cheo Dr anakuwaje hana degree??

For your information Dr Slaa ana Phd.

Eti Daudi Bashite ana talanta..!! Damn..!!

Huyu ni Mwizi wa Cheti na Mhalifu wa Taaluma.

Bora viroba vilivyopigwa marufuku.. Athari zake zilikuwa kubwa sana.
Mwaka huu lazima warudi kwao koromije kulima mahindi,hongera sana mkuu
 
Mimi hata sielewi ni kitu gani anafanya huyu mkuu wa mkoa mpaka kuna watu wanamwabudu na kutaka kutuaminisha etui ni mchapakazi. Yaani kuita media, kufokea watu hadharani na kukamata watu ndio dalili ya uchapakazi? Hiyo ni dalili ya uhuni tu na kukosa kujiamini kunakotokana na kuwa incompetent.
Hao wanao muona kuwa ni mchapakazi wote ni wana wa lumumba tena wale kina KWANGU PAKAVU
 
Mleta mada una kiu ya kulabuliwa mlango wa nyumba ya mafi.
Watu hao huku hakuna.
 
mtoa mada jitahidi kuficha ujinga wako Dk unajua maana yake,degree unajua maana yake,?kweli tanzania kuna matahahira wengi sana,na wewe ndio mkubwa wao utakuwaje Dk bila degree?rudi shule mama,afu kosa la bashite sio kuwa na degree au la bali forgery,kama hujui maana ya forgery mlaumu baba yako kutokupeleka shule
 
Prof Lipumba amekiri mara kadhaa kwamba aliridhia Dr Slaa awe mgombea urais kupitia Ukawa.Kielimu Prof amemuacha mbali sana Slaa lakini kiuongozi ni kinyume chake.Tuna mifano mingi ya watu waliojaliwa vipawa vya uongozi bila kujali elimu walizopitia.Mtu mwenye talanta ya uongozi huwa ni mwenye kuthubutu na wakati wote hujiamini ktk yale ayatendayo, ukiwaangalia kwa umakini Lipumba na Slaa utanielewa.Lakini pia yupo RC wa Dar es salaam aliyejaaliwa talanta hii ya uongozi, yeye husema na kutenda.Tuliaminishwa huko nyuma kwamba kuna baadhi ya mafisadi na wauza ngada wakiguswa tu au kutajwa nchi itatikisika lakini Makonda amewagusa na kuwataja na nchi iko shwari.Hakika tusome kwa ajili ya kuwa matabibu, wachumi, wahasibu nk lakini ili tuwe viongozi tunapaswa kuwa na hofu ya Mungu na kumuomba na kumtukuza yeye kila siku.
Sasa mbona wale waliokutwa na vyeti feki wote walifukuzwa? Ina maana wote hawakuwa na talent?
 
6 Reactions
Reply
Back
Top Bottom