Inasikitisha kuona jinsi wabunge vijana wa Chadema wanavyonyimwa fursa za kujifunza kutoka kwa wabunge wengine wazoefu kutoka vyama vingine.
Kipindi hiki ndicho muafaka kwa vijana hawa kugema elimu, busara na uzoefu wa wenzao kwa njia ya kubadilishana mawazo. Wenzao kina Zito na Halima walipata fursa hiyo walipoingia bungeni kwa mara ya kwanza. Hata Mbowe na Slaa walipitia mkondo huo huo, ndio maana sasa wanaonekana kubobea katika siasa na bungeni.
Kwa sasa ni vigumu sana kwa wabunge vijana wapya kubadilishana mawazo wazi wazi na wabunge wa CCM, CUF au NCCR. Hii ni kutokana na ukweli kwamba akibainika kufanya hivyo wataitwa msaliti na majina mengine yanayofanana na hilo. Matokeo yake wanaishia kuulizana na kuelimishana wenyewe kwa wenyewe, na kuishia kudanganyana au kurithi mapungufu ya viongozi wao.
Ikumbukwe kuwa vipaji vya vijana hawa ni hazina ya taifa na si ya Chadema. Uongozi wa juu wa Chadema kuendelea kuwatenga, kuwatisha/kuwaogofya wasishirikiane na kupata uzoefu kutoka kwa wabunge wengine ni sawa na kuwamaliza kisiasa.
Aina hii ya uongozi ndiyo imeanza kukimaliza chama kwa sababu haina upeo na haizingatii maslahi ya Taifa.
Inasikitisha kuona jinsi wabunge vijana wa Chadema wanavyonyimwa fursa za kujifunza kutoka kwa wabunge wengine wazoefu kutoka vyama vingine.
Kipindi hiki ndicho muafaka kwa vijana hawa kugema elimu, busara na uzoefu wa wenzao kwa njia ya kubadilishana mawazo. Wenzao kina Zito na Halima walipata fursa hiyo walipoingia bungeni kwa mara ya kwanza. Hata Mbowe na Slaa walipitia mkondo huo huo, ndio maana sasa wanaonekana kubobea katika siasa na bungeni.
Kwa sasa ni vigumu sana kwa wabunge vijana wapya kubadilishana mawazo wazi wazi na wabunge wa CCM, CUF au NCCR. Hii ni kutokana na ukweli kwamba akibainika kufanya hivyo wataitwa msaliti na majina mengine yanayofanana na hilo. Matokeo yake wanaishia kuulizana na kuelimishana wenyewe kwa wenyewe, na kuishia kudanganyana au kurithi mapungufu ya viongozi wao.
Ikumbukwe kuwa vipaji vya vijana hawa ni hazina ya taifa na si ya Chadema. Uongozi wa juu wa Chadema kuendelea kuwatenga, kuwatisha/kuwaogofya wasishirikiane na kupata uzoefu kutoka kwa wabunge wengine ni sawa na kuwamaliza kisiasa.
Aina hii ya uongozi ndiyo imeanza kukimaliza chama kwa sababu haina upeo na haizingatii maslahi ya Taifa.
Inasikitisha kuona jinsi wabunge vijana wa Chadema wanavyonyimwa fursa za kujifunza kutoka kwa wabunge wengine wazoefu kutoka vyama vingine.
Kipindi hiki ndicho muafaka kwa vijana hawa kugema elimu, busara na uzoefu wa wenzao kwa njia ya kubadilishana mawazo. Wenzao kina Zito na Halima walipata fursa hiyo walipoingia bungeni kwa mara ya kwanza. Hata Mbowe na Slaa walipitia mkondo huo huo, ndio maana sasa wanaonekana kubobea katika siasa na bungeni.
Kwa sasa ni vigumu sana kwa wabunge vijana wapya kubadilishana mawazo wazi wazi na wabunge wa CCM, CUF au NCCR. Hii ni kutokana na ukweli kwamba akibainika kufanya hivyo wataitwa msaliti na majina mengine yanayofanana na hilo. Matokeo yake wanaishia kuulizana na kuelimishana wenyewe kwa wenyewe, na kuishia kudanganyana au kurithi mapungufu ya viongozi wao.
Ikumbukwe kuwa vipaji vya vijana hawa ni hazina ya taifa na si ya Chadema. Uongozi wa juu wa Chadema kuendelea kuwatenga, kuwatisha/kuwaogofya wasishirikiane na kupata uzoefu kutoka kwa wabunge wengine ni sawa na kuwamaliza kisiasa.
Aina hii ya uongozi ndiyo imeanza kukimaliza chama kwa sababu haina upeo na haizingatii maslahi ya Taifa.
Inasikitisha kuona jinsi wabunge vijana wa Chadema wanavyonyimwa fursa za kujifunza kutoka kwa wabunge wengine wazoefu kutoka vyama vingine.
Kipindi hiki ndicho muafaka kwa vijana hawa kugema elimu, busara na uzoefu wa wenzao kwa njia ya kubadilishana mawazo. Wenzao kina Zito na Halima walipata fursa hiyo walipoingia bungeni kwa mara ya kwanza. Hata Mbowe na Slaa walipitia mkondo huo huo, ndio maana sasa wanaonekana kubobea katika siasa na bungeni.
Kwa sasa ni vigumu sana kwa wabunge vijana wapya kubadilishana mawazo wazi wazi na wabunge wa CCM, CUF au NCCR. Hii ni kutokana na ukweli kwamba akibainika kufanya hivyo wataitwa msaliti na majina mengine yanayofanana na hilo. Matokeo yake wanaishia kuulizana na kuelimishana wenyewe kwa wenyewe, na kuishia kudanganyana au kurithi mapungufu ya viongozi wao.
Ikumbukwe kuwa vipaji vya vijana hawa ni hazina ya taifa na si ya Chadema. Uongozi wa juu wa Chadema kuendelea kuwatenga, kuwatisha/kuwaogofya wasishirikiane na kupata uzoefu kutoka kwa wabunge wengine ni sawa na kuwamaliza kisiasa.
Aina hii ya uongozi ndiyo imeanza kukimaliza chama kwa sababu haina upeo na haizingatii maslahi ya Taifa.
Inasikitisha kuona jinsi wabunge vijana wa Chadema wanavyonyimwa fursa za kujifunza kutoka kwa wabunge wengine wazoefu kutoka vyama vingine.
Kipindi hiki ndicho muafaka kwa vijana hawa kugema elimu, busara na uzoefu wa wenzao kwa njia ya kubadilishana mawazo. Wenzao kina Zito na Halima walipata fursa hiyo walipoingia bungeni kwa mara ya kwanza. Hata Mbowe na Slaa walipitia mkondo huo huo, ndio maana sasa wanaonekana kubobea katika siasa na bungeni.
Kwa sasa ni vigumu sana kwa wabunge vijana wapya kubadilishana mawazo wazi wazi na wabunge wa CCM, CUF au NCCR. Hii ni kutokana na ukweli kwamba akibainika kufanya hivyo wataitwa msaliti na majina mengine yanayofanana na hilo. Matokeo yake wanaishia kuulizana na kuelimishana wenyewe kwa wenyewe, na kuishia kudanganyana au kurithi mapungufu ya viongozi wao.
Ikumbukwe kuwa vipaji vya vijana hawa ni hazina ya taifa na si ya Chadema. Uongozi wa juu wa Chadema kuendelea kuwatenga, kuwatisha/kuwaogofya wasishirikiane na kupata uzoefu kutoka kwa wabunge wengine ni sawa na kuwamaliza kisiasa.
Aina hii ya uongozi ndiyo imeanza kukimaliza chama kwa sababu haina upeo na haizingatii maslahi ya Taifa.
Inasikitisha kuona jinsi wabunge vijana wa Chadema wanavyonyimwa fursa za kujifunza kutoka kwa wabunge wengine wazoefu kutoka vyama vingine.
Kipindi hiki ndicho muafaka kwa vijana hawa kugema elimu, busara na uzoefu wa wenzao kwa njia ya kubadilishana mawazo. Wenzao kina Zito na Halima walipata fursa hiyo walipoingia bungeni kwa mara ya kwanza. Hata Mbowe na Slaa walipitia mkondo huo huo, ndio maana sasa wanaonekana kubobea katika siasa na bungeni.
Kwa sasa ni vigumu sana kwa wabunge vijana wapya kubadilishana mawazo wazi wazi na wabunge wa CCM, CUF au NCCR. Hii ni kutokana na ukweli kwamba akibainika kufanya hivyo wataitwa msaliti na majina mengine yanayofanana na hilo. Matokeo yake wanaishia kuulizana na kuelimishana wenyewe kwa wenyewe, na kuishia kudanganyana au kurithi mapungufu ya viongozi wao.
Ikumbukwe kuwa vipaji vya vijana hawa ni hazina ya taifa na si ya Chadema. Uongozi wa juu wa Chadema kuendelea kuwatenga, kuwatisha/kuwaogofya wasishirikiane na kupata uzoefu kutoka kwa wabunge wengine ni sawa na kuwamaliza kisiasa.
Aina hii ya uongozi ndiyo imeanza kukimaliza chama kwa sababu haina upeo na haizingatii maslahi ya Taifa.
Oyaa wewe si ulianzisha thread umeahama CHADEMA? Sasas hizi ny..g, ny..ge za CHADEMA CHADEMA zinatokea wapi? man up bro, kuna mambo mengi sana ya kushughulika nayo zaidi ya kuzungumzia CDM kila kukicha. After all mambo ya CHADEMA waachie CHADEMA.
Naondoka nikiwa na uchungu na yanayoendelea kutokea.
Pia nahisi bado nina haki ya kutoa mawazo yangu manake pamoja na mapungufu yake, Chadema ni ya Watanzania.
Yawatanzania ila si wajinga kama wewe! peleka upuuzi wako huko.Naondoka nikiwa na uchungu na yanayoendelea kutokea.
Pia nahisi bado nina haki ya kutoa mawazo yangu manake pamoja na mapungufu yake, Chadema ni ya Watanzania.
Basi unaipenda CDM, Usitoke tuuuNaondoka nikiwa na uchungu na yanayoendelea kutokea.
Pia nahisi bado nina haki ya kutoa mawazo yangu manake pamoja na mapungufu yake, Chadema ni ya Watanzania.
sasa kwa mfano pale CCM utamuomba ushauri nan?wote wezi labda uende kwa magufuli,mwakiembe na Anne kilango mallecela kidogo ntakuelewa
Naondoka nikiwa na uchungu na yanayoendelea kutokea.
Pia nahisi bado nina haki ya kutoa mawazo yangu manake pamoja na mapungufu yake, Chadema ni ya Watanzania.