Ringo Edmund
JF-Expert Member
- May 10, 2010
- 4,879
- 1,134
Kwa kweli pinda ametutia aibu sana.tz ni taifa kubwa sana kuomba kusuluhishwa kwenye mgogoro na nchi ndogo kama Rwanda.
Kama tungekuwa tumekosea ingeingia akilini lkn hadi sasa sisi hatuna kosa lolote.Serikali imeshikilia msimamo wake kuwa Rwanda ikae na waasi.Kama huo ni msimamo wa serikali upatanishi unatoka wapi?
Taarifa mpya inazua maswali kuhusuni wapi hasa waziri mkuu Pinda alipata maelezo hayo ya kwamba rais Kikwete aliomba usuluhishi huo.
Tunadhani kauli ya Pinda inaakisi upungufu wake katika ulimwengu wa diplomasia.
Taarifa ile ilidakwa na vyombo vya kimataifa,dunia sasa inatuona kama wakosaji maana waziri mkuu ameonesha kuwa sisi tunataka kupatanishwa.
Kama tungekuwa tumekosea ingeingia akilini lkn hadi sasa sisi hatuna kosa lolote.Serikali imeshikilia msimamo wake kuwa Rwanda ikae na waasi.Kama huo ni msimamo wa serikali upatanishi unatoka wapi?
Taarifa mpya inazua maswali kuhusuni wapi hasa waziri mkuu Pinda alipata maelezo hayo ya kwamba rais Kikwete aliomba usuluhishi huo.
Tunadhani kauli ya Pinda inaakisi upungufu wake katika ulimwengu wa diplomasia.
Taarifa ile ilidakwa na vyombo vya kimataifa,dunia sasa inatuona kama wakosaji maana waziri mkuu ameonesha kuwa sisi tunataka kupatanishwa.