uongo wa CCM na matumizi mabaya ya vyombo vya habari Chato

Hata mimi nimeona ni kadi mpya tu. Lakini mjinga ni wa kumuacha tu. Halafu huto Bulemba amewatukana wachaga na anahamasisha ukabila, nini maana ya chaganization? CCM mnaokota wapi viongozi hatari kwa taifa.
 
Habari iliyorushwa na STAR TV na RADIO ONE kuhusu wanachama 100 wa CHADEMA kuhamia CCM umesikitisha wakazi wengi sana wa wilaya ya Chato na pia kupoteza imani iliyokuwepo kwa wakazi wa mji huu kwa chombo cha habari cha STAR TV.

Habari hii iliyorushwa tarehe 17/03/2013 usiku kuwa wanachama zaidi ya 100 tawi la Mwerani kata ya MUGANZA mbele ya katibu wa jumuiya ya wazazi bara wamehamia CCM ni uongo mkubwa' HUU NI UONGO ULIOTUKUKA SISI KATA YA MUGANZA TUNA REGISTA YA WANACHAMA KAMA KUNA MWANACHAMA WANAJUA ALITOKA HAPA WATAJE JINA LAKE SISI TUJE NA REGISTA 'alisikika akisema diwani wa kata ndg MARKO M MADUKA.

Hawa wanaendelea kuzunguka zunguka nchi wanakula hela ya wafanyabiashara na ya walipa kodi eti ziara wanachukua wanachama wao wanawapa kadi mpya za CHADEMA wanawaelekeza namna ya kuzirudisha wanahangaika aliongeza diwani kama wana jina hata moja walete sisi tuwaoneshe regista yetu hapa.

Na nyie wanahabari acheni ujinga wa kutumika ovyo na hawa jamaa wasiokuwa na aibu

MARKO M MADUKA DIWANI WA KATA YA MUGANZA CHATO
 
Uwezo Tunao
Re: Falsafa ya cdm ni hii, ya ccm iko wapi?
FALSAFA NZURI YA CHAMA CHA SIASA NI SHARTI IAKISI JAMII HUSIKA, MAZINGIRA, RAHISI KUELEWA NA INAYOENDANA VILIVYO NA KIPINDI KATIKA MAISHA WANAMOISHI

Nitangulie kuwapa hongera sana sana tena sana CHADEMA kwa kuweza kuibuka na falsafa ambayo kiujumla ni sura halisi ya matakwa ya Wa-Tanzania na safari yetu ndefu kama jamii moja katika maisha haya.

Hakika kwa ufahamu wangu falsafa ya CDM imekidhi misingi yote muhimu kiasi cha kutosha kututambulishia kwamba CHADEMA ni watu gani katika jamii yetu, wanaamini katika lipi na siku zote tuwafanyie tathmini katika uendeshaji wa shughuli za kila siku katika taifa hili huku wananchi tukizingatia misingi gani hasa zinazotambulika rasmi.

Ndio, Falsafa ya Chama Cha Siasa si sawa na mtu kufanya ziara binafsi kwenye mbuga za wanyama kokote duniani. Wala Jambo hili halipigiwi KOFULI MLANGONI kwamba haukua nalo jana leo hii ukitangaza kuwa nalo basi ni kosa la jinai - laa hasha!! Hivyo mtu kusema kwamba labda kwa kuwa Mwenyekiti Mstaafu, Mhe Edwin Mtei, katika mahojiano yake na vyombo vya habari pengine miaka 5 iliyopita hakulitaja falsafa ya Chama; hiyo peke yake hakizuii chama kuweza kupiga hatua zaidi kwa KUJIPA SURA HALISIA kisiasa nchini.

Kiukweli, kupokezana kule kete la majukumu ndani ya Chama na hiyo ndio maana tunasema CHADEMA ni cha Wa-Tanzania wote na wala si mali ya mtu binafsi kama vilivyo vyama vingine vya mifukoni hapa nchini hivyo kama Mzee Mtei aliweza kutekeleza hatua fulani muhimu kwa uhai wa chama hiki basi nasisi Vijana Wa-Tanzania wenye mali yao tunaendelea kukamilisha mengine na mengi zaidi mazuri bado yako njiani yanakuja - kaeni mkao wa ushindi kote nchini!!

Nielewavyo mimi, falsafa ya Chama Cha Siasa kwa maelezo miepesi ni UJUMLA WA MAWAZO NA FIKRA yanayotafuta kumtambulisha mtu na au Chama na kile anachokiamini, kupenda kuliona likitendeka kwa jamii yake na kwamba yuko tayari kuwekeza muda na rasilmali nyinginezo muhimu kuendeleza fikra na mawazo hayo kwa faida na maendeleo ya jamii katika ujumla wake.

le majibu ya maswali ya msingi kama vile; (1) nyinyi kama Chama cha siasa wananchi tuwatambueni kuwa muu akina nani hasa?? (2) mnaamini katika mambo yepi hasa ambayo lasimamia ambayo ndiyo itakayokua ni chimbuko na muongozo wa shughuli zenu zote kiutendaji kama chama.

Na kwa mantiki hii ndipo nako tunapotangaza kwamba ni mwisho wa SIASA ZA MKUMBO huku tukifungua ukurasa mpya wa siasa za kisasa zenye kuegemea misingi ya wazi na iliotukuka mioyoni mwa Wa-Tanzania tuliowengi.

Hadi hapo nawashauri vijana wenzangu kote nchini na wananchi kwa ujumla kwamba maadam sote tumeshajionea madhara makubwa yalioletwa na falsafa mpya ya Chama fulani nchini; falsafa ya 'Kasi Mpya, Nguvu Mpya na Ari Mpya' pasipo kuelewa hasa dira zima ya wapi tunakopelekwa kama taifa, na hatimaye kutokea ajali ya mwaka kisiasa ambapo chama hicho hivi sasa kimeparaganyika vipande 200 kidogo, ni muda muafaka sote tukajiunga CHADEMA leo hii na wala si kesho.

Hakika CHADEMA pekee ndiyo nyumba salama kisiasa kwa watu wa rika zote, dini zote, rangi zote, jinsia zote na daraja zote za uelewa sawa na vile ambayo hata Marehemu Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere aliiona na kutuambia kwa kinywa kipana sote nchini.


Interview with Edwin Mtei, Chairman of the Opposition party Chadema


Goverrunent commitment to democracy doubtful

Sixty-one-year-old Edwin MTEI is the founder and chairman of Chadema (Chama cha Demokrasia na Maendeleo), one of Tanzania's growing opposition parties.

Once a member of the country's sole legal party (CCM), he has held a number of important positions both nationally and internationally, among them Governor of the Bank of Tanzania ( 1965-74), Minister of Finance and Planning (1977-79) and Executive Director, International Monetary Fund (1982-86).


What is it like setting up as an opposition party in Tanzania? What has Chadema got to offer ? The Courier spoke to Mr Mtei. First, we asked him why he broke away from CCM to form his own political party.

My breakaway from CCM occurred very early in my career. I was Minister for Finance from 1977 to end of 1979.

As a result of differences between the then President Julius Nyerere and myself over the management of the economy, I resigned.

And I decided to go into farming instead of remaining in public service.


·What clearly distinguishes Chadema from other opposition parties?

- Chadema is not afraid of saying that the best way of running our economy is to adopt an approach that follows market forces.

But it appears that CCM and many other parties here are hesitant and they are ambivalent as far as that is concerned.

We are not afraid of saying that socialism as such will not work in this country.


· You have said that because you were a member of CCM you can easily point out its weaknesses. Apart from socialism, would you care to outline just a few of those weaknesses ?

- Yes, actually my own assessment of the CCM leadership is that even their idea about democracy is muddled. They do not believe in genuine freedom and even in genuine democracy at this moment.

In fact they have almost confessed that the reason they adopted the multiparty system is because of their desire to secure financial aid for this country. The president himself has actually confessed that publicly.

Furthermore, their lack of commitment is demonstrated by the fact that, following the introduction of multipartyism, they have actually tried to muzzle us by restricting us from being heard by the public and allowing the public to make their own decision as to what political affiliation they want.

Right now we are not allowed, for example, to air our views on the radio. And in a large country like this, where people are poor and unable to read newspapers, you cannot just depend on newspapers to spread your ideas. You have to be heard over the radio.

We have had to sue the Government so that Chadema and the other political parties can be heard so as to enable the people to choose their political affiliation.


· The matter is still in court?

- Yes. The court has not yet ruled.

·Many Tanzanians, though, believe that opposition parties are just simply serving as vehicles for personal political ambition. Are you using Chadema to advance your own political career?

- That is a very uncharitable thing to say. I don't think Chadema is a vehicle for political ambition.

Chadema is led by people who are prepared to sacrifice their timeand their resources, people who believe they have a mission to establish freedom and improve the living standards of our people. We are not out to make money.

The founders of our party are not people who are looking for jobs; they are self-employed people in the professions or in business.


·Are you confident then, when it comes to defending your own personal record, that you will not be painted with the same brush as with CCM? After all, you were a member of that party and you held responsible positions.

- No. Actually I can claim to have a good record of public service of which I am proud.

After holding various positions and resigning as I mentioned earlier, I sold my house in Dar es Salaam and bought a coffee farm in Arusha where I lived for about three years, before the governors of the International Monetary Fund andthe World Bank elected me executive director of the IMF to represent English-speaking African countries on the board ofthe IMF.


· You have already indicated some of the cliff culties you are encountering setting up as a political party. Are there more? The Constitutional Commission has recommended the repeal of 40 laws to make life easier. Would that do ?

- We have said that genuine democracy cannot be established without the repeal or the substantial amendment of the 40 obnoxious laws which are in our statute books. And some of them, like the Preventive Detention Act, is a sort of sword of Damocles hanging over us all the time.

If you are making a public speech and all the time you are looking over your shoulder, wondering whether the soldiers are about arrest you, you cannot be as free as you would like to be. And there are many laws on our statute books which threaten various freedoms - of speech, of movement, etc.


We have also discussed the question of involving all the political parties and the civil organizations, like Chambers ofCommerce, trade unions and religious organizations, in a participatory manner, in rephrasing and reframing the Constitution of Tanzania.

The party in power says we have no mandate to discuss the Constitution, but our argument is that, since a substantial number of people have left CCM to form or join other parties and there is so much disgruntlement with the system, it is good that all of us should be involved in the design of the sort of social contract applicable under a multiparty system.


· From what you have already said, it is very easy to see where you stand on the political spectrum. You stand for market oriented development, for liberalization as well as for foreign investment. In other words you do support the reforms being carried out by the Government. But you have also spoken publicly about indigenisation, warning against foreign domination of the economy. That smacks of xenophobia, doesn't it, at a time when Indians are being accused of domination ?

- I think there is a little bit of misunderstanding about the way in which our party, Chadema, advocates the non marginalisation of the indigenous people.

The indigenous people of this country have been marginalised in the sense that even prior to independence they were not even allowed to borrow from the banks, let alone put money in them.

To open an account, you had to go and get a DC's permission. The indigenous people were only used as clerks or supervisors of the coffee and sisal estates.


At the time of independence there was in fact an attempt to Africanise the civil service. And incidentally I was appointed the chief Africanisation officer of the civil service by President Nyerere in 1962. Unfortunately he did not remember that there was a need to Africanise the industrial and the trade sectors. He only Africanised the administration.

What happened was that, after the Arusha Declaration in 1967, he thought he could involve the bulk of the people by nationalizing - ie ensuring that companies are owned by the State so that the indigenous people could be partners in them.

But the result has been that even the institutions which were created under the Arusha Declaration, the financial institutions especially, have been extensively used by parastatals which have proved rather to be parasites.

They have collapsed and they are no longer of any use, even to the local people, as they are no longer producing anything. They are all bankrupt now. The Arusha Declaration, literally, was even worse; it prescribed that only people who are within certain salary levels could invest in the private sector.

You could not have two salaries, you could not have shares and things like that. Even people who got senior positions as a result of Africanisation were unable to acquire any wealth. So we have been marginalised all along.


The intention now is to ensure that Africans, at least the indigenous people, are involved in the mainstream of the economy so that we cease to be marginalised.

And we will do it by involving the international community, the local people who happen to be non-indigenous who are in industry and in commerce now, and the Government itself.

We would use techniques such as favourable terms of credit, allocation of land licences. We are not going to pick up stones and spears and guns and chase people away from this country.

We are going to involve everybody to bring people who have long been marginalised into the mainstream of the economy. You cannot call that discrimination.


· Given what you have just said, how do you see privatisation ?

- Privatisation is in fact what we have been advocating, even now as a party. We have to privatise because it is not possible to run anything efficiently with bureaucracy.

Privatisation is necessary, but we have to do it in such a way that we do not make our economy too foreign at the same time. What we can do is to have some sort of caveats in the negotiations in such a way that, as the new shareholders take over the parastatals, they reserve either a portion for local people now or a portion of the shares to be sold at a later date to local people when they are available.

It is a question of looking at each industry during negotiation and arriving at an appropriate agreement before privatisation.

 
Hiyo ni kweli kabisa kwasababu viongozi wa ccm walikuja ofisini kwangu wakanipa deal ya kuprint card 200 za CDM lakini Bahati mbaya nilikuwa nimebakiwa na material ya card 100 tu
funguka vizuri mkuu! ninavyofahamu vitu kama kadi zinatengenezwa na kwa Batch kulingana na oder ya anayetaka hizo kadi. Sasa wewe imekuwaje kama printer unapatana na mtu mwingine kuhusu ku - duplicate kazi ya mteja mwingine.
Kwa hiyo wewe ndo ndo mtengeneza kadi feki ?
 
Wamesema tangu wajiunge na chadema hawajaona cha maana zaidi ya kuhamasishwa kutukana viongozi na kuandamana. Wanachama hao ambao wengi wao ni vijana Wamepokelewa na kupewa kadi za ccm mwenyekiti wa wazazi taifa abdallah bulembo. My take...... Video ya lwakatare inaanza kukitafuna chadema source habari star tv

hizo ni akili?au matope?kama mnadhani kuwa wanachama wa cdm ndio kikwazo cha maendereo ya watanzania basi kwa taarifa za jana twambieni kwa hao waliorejesha kadi wameondekewa na ujinga, maradhi na umaskin?kazi kusfia ujinga tu.
 
Akili ya bulembo imenisikitisha hivi ninani wanae mwongopea?
Leo nimeshangaa kuona kadi
za CHADEMA mpya tu ndo zinarudishwa alafu zote na inasemekana watu hao
wamejifika gamba.

Nilichopenda kwa watu hao walio jivika gamba ni utunzaji
uliotukuka.
 
Wajinga ndiyo wakutawaliwa milele, kwao kufikiri ni mzigo. wanataka cdm iwafanyie kitu ilihali wanajua kuwa wakusanya kodi kutoka kwao kwa wafanya biashara ni ccm. Watumiaji wa mapato kutoka kwenye raslimali za taifa ni ccm. waache watumike kufanya propaganda watanunuliwa bodaboda na kupewa jezi na mipira.
 
Huu ni usanii ulio pitiliza,mbona kadi zenyewe ni mpya sana? Ukizikunja zinajikunjua zenyewe? Mnatia aibu na kichefuchefu,naona sasa hata uwezo wenu wa kudanganya umepungua.

Itv

Nadhani kuna tatizo aidha kwa watanzania wenyewe ambao ni wanachama wa vyama vya upinzani au kwa vyma vya upinzani.HIvi ni kwa nini hao wanaorudisha kadi wasizirudishe kwa waliowapa?Wawaite viongozi kama ni wa CUF,CCM au CHADEMA wawaambie wanacaham wenu wamerudihsa kadi na tumewaomba wawakbidhi wenyewe.Naona hilo ndilo la maana zaidi kuliko kwenda kwenye mikutano na kutuamnisha hayo.

Pili ni ujinga kwa vyama vya siasa kuchukua mwanachama anayehamahama maana hata hajijui na wala hajui anachohitaji katika maisha yake.
 
Makamanda wanatema matusi Kama watoto WA mbw...... Vile

Uliwahi kumsikia Lusinde?Au yale ya Lusinde yalikuwa ni ajenda za Chama chetu.Tukiwa tunawanyooshea vidole wengine hebu tuangalie vidole vingapi vinanyoosha kwako,ukishaona hili hutakaa umnyooshee mtu kidole.Kama matusi hata CCM wanatukana mno matusi machafu yasiyofaa,angalia wakati wa kampeni Lusinde na Mwigulu walisama nini ni aibu.

Kuna msemo mmoja unasema isichotaka kutendewa wewe usimtendee mwenzio,maana akija kukutenda ni shughuli na ukitaka kumbadilisha mtu yoyote anza kujibadilisha wewe mwenyewe kwanza.
 
siku hizi kurudisha kadi ndo propaganda na siasa za ccm. Hiyo inathibitisha wanachama wengi waliwakimbia so wanaota wamerudi. ni kama maigizo, wanapeana kadi halafu wanasema act wewe ni chadema unarudisha kadi. huu ni upumbavu. ccm wanajivunia kurudisha kadi kwani kimekua chama kipya?. mia

Mimi sina kadi ya CDM ila 2015 naipigia kura CDM,CCM kinachotakiwa si kuvuna kadi wala kuibomoa CDM ni kudeal na matatizo yetu,kama maji,umeme,huduma mbovu hospitali,mfumuko wa Bei,Rushwa na sasa mauaji ya Raia
 
Mbona hamsemi wanaowahama magamba na kuja chadema magamba bwana yamevifunga vyombo vya habari visitangaze habari za chadema.
 
Hiyo ni kweli kabisa kwasababu viongozi wa ccm walikuja ofisini kwangu wakanipa deal ya kuprint card 200 za CDM lakini Bahati mbaya nilikuwa nimebakiwa na material ya card 100 tu

Je ,haujui kwamba hilo ni kosa la jinai kuprint kadi za Chama kingine?Wakikurudi kuja kukushtaki utafanyeje.Siku nyingine waombe wakuandikie barua ili uitoe kama evidence.
 
Back
Top Bottom