Wakudadavuwa
JF-Expert Member
- Feb 17, 2016
- 17,506
- 15,997
Ndugu zangu,
Zitto kama Zitto jeshi la mtu mmoja anasema ripoti ya CAG imebaini mkanganyiko wa takribani trilioni 4.8 za kitanzania.
Kwa upande mwingine kikundi cha watu kupitia mwamvuli unaoitwa Chadema wanasema ripoti ya CAG imebaini trilioni 1.6 za kitanzania.
Siku zote zumbukuku anatabia ya kujadili na kusema mambo yasiyokuwepo,kama nchi itaendelea kuwa na kambi ya upinzani iliyosheheni waongo wa mchana kweupe ni dhahiri wananchi watawapa adhabu ya kuwapuuza.
Nimalize tu kwa kusema "uongo haudumu"
Muda mwingine tena.
Sent using Jamii Forums mobile app
Zitto kama Zitto jeshi la mtu mmoja anasema ripoti ya CAG imebaini mkanganyiko wa takribani trilioni 4.8 za kitanzania.
Kwa upande mwingine kikundi cha watu kupitia mwamvuli unaoitwa Chadema wanasema ripoti ya CAG imebaini trilioni 1.6 za kitanzania.
Siku zote zumbukuku anatabia ya kujadili na kusema mambo yasiyokuwepo,kama nchi itaendelea kuwa na kambi ya upinzani iliyosheheni waongo wa mchana kweupe ni dhahiri wananchi watawapa adhabu ya kuwapuuza.
Nimalize tu kwa kusema "uongo haudumu"
Muda mwingine tena.
Sent using Jamii Forums mobile app