DOKEZO Uonevu uliokithiri Idara ya Elimu Manispaa ya Moshi

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Me
Aisee wewe unamjua mtu anaetumia madaraka yake vema kujinufaisha?
Acha bhana huo ujasiri wa kumdogelea aisee
Hebu siku moja jaribu kumfata mtu wa juu yako kumuonya na uone kitakacho kutokea
emoji1322.png
emoji1322.png
emoji1322.png
emoji1322.png
Mengine ni kuyapotezea
Kwa hiyo mambo unayofanya bwana Ngonyani unataka tuyasapoti?
Ngono inakufurahisha siyo
Siyo nafurahia maovu huenda kwa jinsi ilivyoandikwa imeandikwa kiufitini fitini Ingeandikwa kifasihi au kimafumbo siyo kumtaja mtu direct ungeimba takukuru wachunguze ofisi yake
 
Yaan ndio kundi lililobeba mbumbumbu kuliko, mtumishi wa umma mwenye cheki namba yake mwenye elimu yake, amewekewa hadi taratibu za kazi bila kusahau ana haki ya kudai au kulalamika haki yake ikidhurumiwa bila kusahau wamewekewa tume ya usuruhishi ya migogoro kazini tena hawa jamaa kila mkoa wapo, bado anakuja lalamika mitandaoni eti anatafuta sijui huruma ya nani, naomba nimwambie tu aache kasumba zile za wale waalimu wa miaka ile wao kulalamika tu maana wesha ambukizwa na kizazi hiki cha digital. Nimtolee mfano kuna halmashauri ya jiji X hapa nchini kulikuwa na mkuu wa idara ya afya jamaa alikuwa na majanga yake kiasi kwamba kila mtu akamchoka, DED alikuwa anamwogopa jamaa inasemekana lakini kutokana na DMO kuwa na connektion zake kadha wa kadha, sasa ikafikia kipindi wakuu wa vituo na CHMT member wa halmashauri husika wakaandika simple barua yenye malalamiko yao plus evidence kwenda ofisi ya ded kama ilivyo protocol, ded akauchuna inasemekana aliogopa chukua hatua walivyoona kimya nakala ikatumwa tamisemi, punde tume ikatimba halmashauri husika kuchunguza tuhuma, jamaa wakajiridhisha pasi na shaka kwamba jamaa alilewa madaraka na kujisahau, very soon jamaa alipata barua kumhamisha na kumshusha cheo kwenye halmashauri Y basi kesi ikawa imeisha hiyo.

Huyu mwalimu aache kusubiri huruma ya mitandaoni akidhani jambo lake ni la kisiasa wakati ni la kitaalamu, madokezo yake kuhusu mkuu wake lazima awe na evidence nayo ili hatua zichukuliwe, au anasubir tu matamko kwa wanasiasa kushughulikia jambo hili? Atasubir sana tena akibainika atachukuliwa hatua na mwajiri wake kwa kutoa siri za ofisi, kazi kwake
Acha kumtisha mwalimu. Nyie ndio wanyanyasaji wakubwa.
 
  • Mwanzo wa ngoma ni Lele
  •  Asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu
  • Hakuna marefu yasiyokuwa na ncha.
  •  Mtaka nyingi nasaba hupata mingi misiba.
 
Toa taarifa kwenye vyombo husika happo moshi kama Pccb, police, nk
 
Me

Mengine ni kuyapotezea

Siyo nafurahia maovu huenda kwa jinsi ilivyoandikwa imeandikwa kiufitini fitini Ingeandikwa kifasihi au kimafumbo siyo kumtaja mtu direct ungeimba takukuru wachunguze ofisi yake
Kiufitini kwako ni kwa sababu mwandishi amesema kweli na wewe hupendi kweli?

Kifasihi ili watu wasijue kweli wabaki na hisia badala ya uhalisia?
Mnafiki
 
Kuna kashfa iliwahi andikwa humu...ya watu mabosi wa GIPSA...hamuezi amini ile thread iliruka na watu hatari..wengine waliotajwa mule waliresign...so Mtoa mada hujakosea hapa ni mahali sahihi maana unamshtaki kwa wananchi plus...thread ikiwekwa imewekwa...!
 
Huyo jamaa ni mwehu sana anapenda kuabudiwa mno ni mtu wa kujikweza sana, pia ana dharau mno ni kama limbukeni flani hivi wa maisha.

Unyanyasaji wake hadi kwa wapangaji wake Dar na Handeni.

Haishi vizuri hata na jamii inayomzunguka.

Ana machafu mengi ni afisa elimu wa hivyo
Duuuuh mbna hatariii hii.
 
Duuuh mlongo vangu amekutwaa na jambooo. Ila kwenye uzinzi nakubaliii, sisi wangoni tunapenda sana mizagamuooo.

 
ALicholeta hapa ni chuki binafsi, Afisa Elimu anasafiri vipi bila ruhusa ya DED? DED mwenyewe anaomba ruhusa kwa RC
Kwahiyo kama amesafiri bila ruhusa Kuna software inayoweza kukataza hizo safar? Kilichoandikwa ni irregularities kwahiyo huenda hakuna baraka za DED ndio maana watu wanalalamika
 
Kwahiyo kama amesafiri bila ruhusa Kuna software inayoweza kukataza hizo safar? Kilichoandikwa ni irregularities kwahiyo huenda hakuna baraka za DED ndio maana watu wanalalamika
DED anaweza kumchukulia hatua ni boss wake, siamini DEO anaweza kuwa na nguvu kuzidi DED haipo, kwanini wasilalamike kwa DC/RAS/RC au kwa KM TAMISEMI?
 
Yaan ndio kundi lililobeba mbumbumbu kuliko, mtumishi wa umma mwenye cheki namba yake mwenye elimu yake, amewekewa hadi taratibu za kazi bila kusahau ana haki ya kudai au kulalamika haki yake ikidhurumiwa bila kusahau wamewekewa tume ya usuruhishi ya migogoro kazini tena hawa jamaa kila mkoa wapo, bado anakuja lalamika mitandaoni eti anatafuta sijui huruma ya nani, naomba nimwambie tu aache kasumba zile za wale waalimu wa miaka ile wao kulalamika tu maana wesha ambukizwa na kizazi hiki cha digital. Nimtolee mfano kuna halmashauri ya jiji X hapa nchini kulikuwa na mkuu wa idara ya afya jamaa alikuwa na majanga yake kiasi kwamba kila mtu akamchoka, DED alikuwa anamwogopa jamaa inasemekana lakini kutokana na DMO kuwa na connektion zake kadha wa kadha, sasa ikafikia kipindi wakuu wa vituo na CHMT member wa halmashauri husika wakaandika simple barua yenye malalamiko yao plus evidence kwenda ofisi ya ded kama ilivyo protocol, ded akauchuna inasemekana aliogopa chukua hatua walivyoona kimya nakala ikatumwa tamisemi, punde tume ikatimba halmashauri husika kuchunguza tuhuma, jamaa wakajiridhisha pasi na shaka kwamba jamaa alilewa madaraka na kujisahau, very soon jamaa alipata barua kumhamisha na kumshusha cheo kwenye halmashauri Y basi kesi ikawa imeisha hiyo.

Huyu mwalimu aache kusubiri huruma ya mitandaoni akidhani jambo lake ni la kisiasa wakati ni la kitaalamu, madokezo yake kuhusu mkuu wake lazima awe na evidence nayo ili hatua zichukuliwe, au anasubir tu matamko kwa wanasiasa kushughulikia jambo hili? Atasubir sana tena akibainika atachukuliwa hatua na mwajiri wake kwa kutoa siri za ofisi, kazi kwake
Ulichokiandika hata wewe mwenyewe ukirudia kusoma utajishangaa, umetolea mfano wa Mkuu mmoja wa IDARA hapo kuwa alikuwa analalamikiwa na wahanga wamepeleka malalamiko kwenye mamlaka zao za kiutumishi ila imepigwa chini barua zao mpaka walipoamua kuvuka mipaka ndio suluhu ikapatikana.

Sasa wewe na wao mbumbumbu ni nani? Kwani kuna sehemu amesema hawajawahi kupeleka malalamiko yao kwenye hizo IDARA?

Na kama hayafanyiwi kazi hapa JF kuna dhambi yoyote mtu kutoa taarifa ikiwa hapa ni jukwaa linaloweza kuleta habari na ikaonekana haraka kwa wahusika ambao kwa kufata kanuni za kuwafikishia taarifa ingechelewa na huenda isingewafikia kabisa.
 
Ulichokiandika hata wewe mwenyewe ukirudia kusoma utajishangaa, umetolea mfano wa Mkuu mmoja wa IDARA hapo kuwa alikuwa analalamikiwa na wahanga wamepeleka malalamiko kwenye mamlaka zao za kiutumishi ila imepigwa chini barua zao mpaka walipoamua kuvuka mipaka ndio suluhu ikapatikana. Sasa wewe na wao mbumbumbu ni nani? Kwani kuna sehemu amesema hawajawahi kupeleka malalamiko yao kwenye hizo IDARA? Na kama hayafanyiwi kazi hapa JF kuna dhambi yoyote mtu kutoa taarifa ikiwa hapa ni jukwaa linaloweza kuleta habari na ikaonekana haraka kwa wahusika ambao kwa kufata kanuni za kuwafikishia taarifa ingechelewa na huenda isingewafikia kabisa.
Na wewe naona ni wale wale, kama sio mwalimu wa primary basi vidudu, mkuu wa idara wawezaje mshitaki kwenye idara? Yaani hiyo senario hujaielewa kabisa, hivi lini serikali itaacha ajili failure kuwa walimu? Mnaaibisha
 
Back
Top Bottom