kirumbiu
JF-Expert Member
- Feb 23, 2016
- 536
- 616
Me
Mengine ni kuyapotezeaAisee wewe unamjua mtu anaetumia madaraka yake vema kujinufaisha?
Acha bhana huo ujasiri wa kumdogelea aisee
Hebu siku moja jaribu kumfata mtu wa juu yako kumuonya na uone kitakacho kutokea
Siyo nafurahia maovu huenda kwa jinsi ilivyoandikwa imeandikwa kiufitini fitini Ingeandikwa kifasihi au kimafumbo siyo kumtaja mtu direct ungeimba takukuru wachunguze ofisi yakeKwa hiyo mambo unayofanya bwana Ngonyani unataka tuyasapoti?
Ngono inakufurahisha siyo