fundiaminy
JF-Expert Member
- Jun 4, 2009
- 355
- 51
Jamaa kuona ramadhani imekaribia aingia msikitini na kuomba hivi:ee Mola naomba ramadhan ingekuwa kama world cup.iwe inakuja baada ya miaka minne na nchi ziwe zinaqualify.duh!!watu kwa kuogopa mfungo!!